언어/스와힐리어 연구

제2부. 스와힐리어 구문연습(Kiswahili Excercise) - 부록. 스와힐리어 노래가사

africa club 2015. 3. 15. 21:36

<부  록>  

① 스와힐리어 노래가사

 

 

 

가. 1. Jambo Jambo

 

Jambo Jambo bwana Habari gani? Nzuri sana.

Wageni mwakaribishwa. Kenya yetu hakuna matata. (4회 반복)

Kenya nchi nzuri. Hakuna matata.

Nchi ya maajabu. Hakuna matata.

Nchi ya kupendeza Hakuna matata.

Kenya yetu Hakuna matata.

Hakuna matata Hakuna matata.

Wazee mwakaribishwa Hakuna matata.

jambo wote Hakuna matata.

Kenya wote.  Hakuna matata.

Kila kitu. Hakuna matata.

Hakuna matata. Hakuna matata.

Watu wote Kenya Hakuna matata.

Ah~ ah~  Hakuna matata.

Uh~ uh~  Hakuna matata.

Kenya yetu. Hakuna matata.

Kenya nchi nzuri. Hakuna matata.

Nchi ya maajabu. Hakuna matata.

Nchi ya kupendeza Hakuna matata.

Hakuna matata. Hakuna matata.

Kenya yetu. Hakuna matata.

watu wetu. Hakuna matata.

 

 

나. 2. Nakupenda

 

Ah~      Ah~       Ah~       Ah~

Ah~      Ah~       Ah~       Ah~

Nakupenda Nakupenda Nakupenda wewe

mpenzi mbona wanisumbua? Unifanyavyo sivyo

Bibi acha kunibagua Nakupenda hivyo ulivyo

Nakupenda Nakupenda Nakupenda wewe (2회 반복)

Kichuna ewe Kichuna Ninayo masikikitiko

Usiku kucha silali Hata nala kwa kijiko

Nakupenda Nakupenda Nakupenda wewe (2회 반복)

간주 후에~ Nakupenda Nakupenda Nakupenda wewe (2회 반복)

 

 

다. 3. Kilimanjaro

 

See uone mountain See wasafiri

See Kilimanjaro See uone mountain ta (2회 반복)

Kilimanjaro Mlima mrefu sana

Kilimanjaro Unapendeza sana (2회 반복)

Wanyama wengi sana Atawinda kwa wengi

Msitu mkubwa sana Atapita suna anda

See uone mountain See wasafiri

See Kilimanjaro See uone mountain ta (2회 반복)

Kilimanjaro Mlima mrefu sana

Kilimanjaro Unapendeza sana (2회 반복)

 

 

라. 4. Malaika

 

Malaika, nakupenda malaika (2회 반복)  

Nami nifanueje kijana mwenzio            

Nashindwa na mali sina wee ningekuoa Malaika (2회 반복)

Kidege hukuwaza kidege (2회 반복)    

Ningekuoa mama wee ningekuoa dada    

Nashindwa na mali sina wee ningekuoa Malaika (2회 반복)

Pesa zasumbua roho yangu (2회 반복)  

Ningekuoa mama wee ningekuoa dada    

Nashindwa na mali sina wee ningeuoa Malaika (2회 반복)

Ningekuoa Malaika

Ningekuoa Malaika

Ningekuoa Malaika

Ningekuoa Malaika

 

 

마. 5. Harambee

 

Harambee harambee tuimbe pamoja

Tujenge serikali

Wengi walisemna Kenyatta kuwa matata

Watu wote wastarabu

Wana nchi harambee tukuje pamoja

Mwongo senau salama

Watu wa Kenya hatuna ubaguzi

Kila rangi tunaipenda.

 

 

바. 6. Kirye

 

Tujeibana waye mama karibu radio

Nitaka kazi yote mama wacheni mchezo

Wangu yuko mzuri mama karibu radio

Macho yako vizuri mama wacheni mchezo

 

Nitaka wewe nawe mama karibu radio

NItazama sawate mama wacheni mchezo.

Wata yuko mzuri mama karibu radio

Macho yako vizuri mama wacheni mchezo

 

후렴 : Kirye kiryo kiry kiry kiry kiry mama

       Kirye kiryo kiry kiry kiry kiry mama

 

 

사. 7. Karibuni Kenya

 

Karibuni Kenya hii ni nchi ya jua

Jambo jambo bwana jambo jambo rafiki

Huzapenda safari tukaonea nyama

Simba na wenzake wakilia

Karibuni Kenya hii ni nchi ya jua

Jambo jambo bwana

Jambo jambo rafiki

 

 

아. 8. Taxi Driver

 

Texi driver nikomboleshe gari

Niende naikuru nikamwone hannah

Aliniahidi nifike Jumamosi

Nami sitaki kuvunja promisi

 

Niliondoka na yule dereva

Tulipofika kule naivasha

Gari letu lilipata panchari

lngawa lazima tutachelewa

 

Nilipofika kule naikuru

Nilimpata “my baby” amekasirika

Nilimwaambia sio makosa yangu bebi

Gari letu lilipata panchari

 

Hiyo promisi ya gari sinzuri

Kwa sababu gari haiamimiki

Tusema kweli gari si kama mtu

Anayekwenda kwa nguvu za damu

 

 

자. 9. Jambo

 

Jambo jambo bwana

Jambo jambo bwana Hakuna matata

Jambo jambo bwana Habari gani? Nzuri sana

Jambo jambo bwana(bibi) Habari gani? Nzuri sana(njema)

Jambo jambo bibi(bwana) Habari gani? Nzuri njema(sana)

Jambo jambo bibi Habari gani? Nzuri njema

 

Jambo jambo bwana

Jambo jambo bwana Hakuna matata

Wageni wakaribisha

Kenya yetu hakuna matata

 

차. 10. Jambo Jambo

 

Jambo jambo bwana

Habari gani?mzuri sana

Wageni,mwakarikibishwa

Kenya yetu hakuna matata – whole stanza(4회 반복)

 

Kenya nchi nzuri, hakuna matata

nchi ya maajabu, hakuna matata

nchi ya kupendeza, Kenya yetu - hakuna matata(3회 반복)

nyote mwakaribishwa, hakuna matata

Jambo wote,hakuna matata

Kenya wote, hakuna matata

Kila siku hakuna matata - Hakuna matata(2회 반복)

Watu wote hakuna matata - Hakuna matata(4회 반복)

 

 

카. 11. Pole Musa

 

Sukuma sukuma sukuma sukuma

Musa nimevumilia sana

Musa nimevumilia sana

Kupigwa pigwa kama miti punda

na sura yangu imeharibika

na ngumi zako za kila siku Musa

Taabu Taabu Taabu

Kweli Musa uliponioa sura yangu

haikuwa na alama hata moja

Nilikuwa na afya nzuri nilinona

kama ngoima yakirige

Hoye Hoye tafadhali Musa

na sura bibi atakayeweze

kuvumilia hizo tabia zako

Ukinywa pombe wamunywea yeye

Ukinywa mnyeke wamunywea yeye

Pole Pole Pole

 

 

타. 12. Lala salama

 

Lala lala salama (4회 반복)

Jua limekuchwa usiku umeingia

Njoo mpenzi wangu tukalale salama

Lala lala salama

Lala lala salama

Tumezizima taa kesho ni kudamka

Saa imefika ya kulala salama

Lala lala salama

Lala lala salama

 

 

파. 13. Asante Sana

 

Asante sana (2회 반복)

Asante sana

Mama

Asante sana

Baba

Asante sana

Mtoto

Asante sana

Rafiki

Asante sana (4회 반복)

Aaaaa Asante

Asante sana (2회 반복)

Asante sana

Mama

Asante sana

Baba

Asante sana

Mtoto

Asante sana

Rafiki

 

Aaaaa Asante (12회 반복)

 

 

하. 14. Pole pole

 

Pole pole sasa (4회 반복)

Mwambie atapata tabu

Mwambie ana haraka nini

Mwambie atapata shida

Mwambie aende pole pole

(처음부터 2회 반복)

Pole pole sasa (8회 반복)

 

 

거. 15. Baba yetu

 

Baba yetu, Yesu uliye

Mbinguni yetu, Yesu, amina!

Baba yetu, Yesu, uliye

Jina lako litukuzwe.

(2회 반복)

 

Utupe leo chakula chetu

Tunachohitaji utusamehe

Makosa yetu, hey!

Kama nasi tunavyowasamehe

Waliotukosea usitutie

Katika majaribu, lakini

Utuokoe, na yule, milelea milele!

 

후렴

 

Ufalme wako ufike utakalo

Lifanyike duniani kama mbinguni(Amina).

 

후렴

 

Utupe leo chakula chetu

Tunachohitaji utusamehe

Makosa yetu, hey!

Kama nasi tunavyowasamehe

Waliotukosea usitutie

Katika majaribu, lakini

Utuokoe, na yule, simama mwehu

Baba yetu, Yesu, uliye

Jina lako litukuzwe.

(2회 반복)

 

 

너. 16. Nakupenda wewe

 

Aaaaaaaaaaah(4회 반복)

Aaaaaaaaaaaah(4회 반복)

Nakupenda, nakupenda, nakupenda wewe(2회 반복)

Mpenzi bona wanisubua

Kila nifanyavyo sivyo

Bibi wacha kunipakua

Nakupenda hivyo ulivyo

 

Nakupenda,nakupenda,nakupenda wewe(2회 반복)

Kichuna ewe kichuna

Nina masikitiko

Usiku kucha silali

Hata nala kwa kijiko

 

 

더. 17. Mama Sofia

 

Mama wakina Sofia,

mwambie Sofia wangu

Naye atage vile na milele na milele

 

후렴

 

Mama we(2회 반복)

Dada we(2회 반복)

Mwabie Yule wangu

Naye atage vile na milele na milele

 

 

러. 18. Kasalo kyanga

 

Kama wewe ungenipenda,kwanini kunidanganya bwana weeeeeeeeeeeee!

Kujibandika madaraka sio yako bwana weeeeeeeewe!

Nimesikia tetesi kuwa huna lolote hata kazi hunaweeeeeeeee!

Unazurura mchana kutwaiiiiii,ukitakula kurandaranda mitaanii

Kumbe hukuwa na uwezo wa kunioa,hela kuniharibia maisha

Heri kuniambia ukweli ulivyo kuliko kunidanganya nikuelewe vipiiiiii?

Babu weee!uaminifu wako uko wapieee?

Baba! nikuelewe vipi?

Babaaaaaaaa!

 

 

머. 19. Sina makosa

 

Hasira za nini we bwana? Wataka kuniua bure bwanaaa

Yule si wako, nami si wangu, chuki yanini kati yako mimi na wewe?

Nasema sina makosa wataka kuniua bure

Sina makosa kwanini wataka mimi nife?

Nasema sina makosa wataka kuniua bure

Sina makosa weeee bwanaaaaaaaaaa!

 

 

버. 20. Toto wangu

 

Toto wangu,usilie

Usilie juu ya maneno ya dunia(2회 반복)

Nifanye nini uwe natabasamu mwanangu

Nifanye nini uwe na furaha,

Uchekekeke,uimbeimbe

Nifanye nini uwe na furaha

Toto wangu,usilie

Usilie juu ya maneno ya dunia(2회 반복)

Dunia ina mengi,baba usiogope oh!mwanangu we!

Kila siku we utaona maajabu

Usichokechokechoke usilielielie

Nifanye nini x2 uwe na furaha

 

 

서. 21. Blondie eya nchama, uwimana, jc matata

 

Lelelelelelelelele……………..

Vijana wa leo,wameutoa mwito

Wakiwaomba viongozi wawatege sikio

Wawape nafasi wakamilishe thamani yao oh!

Hawachukii viongozi wao,wanaochukia ni ubaguzi

Ubaguzi wa rangi,ubaguzi wa kabila,ubaguzi kazini

Wataka mapendo,wataka umoja,wataka amani milele na milele

Lelelelelelelelele……………..

Wawape nafasi vijana,wakamilishe thamani yao oh!

Wanajua kwamba, jasho la nguvu zao ndilo litawapa uhuru

Wanajua kwamba kazi ndio msingi wa maisha

Si wehu,wanachokiomba wapeni nafasi

Sisi vijana wa dunia,twataka kuishi ,

Tupeni nafasi twataka umoja,twataka mapendo,twataka amani milele na milele  

Nasisi waimbaji,tupase sauti zetu tuwape furaha raia

Kwa vibao safi safi,kwa nyimbo za umoja na zenye mafunzo mema

Mafunzo ya ukarimu na utulivu

Tuwaliwaze(2회 반복)

Lelelelelelelelele……………

 

 

 

 

36.

37.

38.