언어/스와힐리어 연구

제2부. 스와힐리어 구문연습(Kiswahili Excercise) - 9장. Somo la Tisa

africa club 2015. 3. 15. 21:24

18.

19.

제 9 장

① Somo la Tisa

 

가. 1. 회화

1) 1.1 사파리(Safari)에서

2)

Leo, sana tunataka tuone familia ya simba. : 오늘, 우리는 정말 사자가족을 보고 싶어요.

Jana tuliona wanyama wengi sana. : 어제 우리는 정말 많은 동물을 보았어요.

Kuna nini pale? : 저곳에는 무엇이 있습니까?

Huyo ni mnyama gani? : 그곳에는 어떤 동물이 있습니까?

3) 1.2. 국립공원에서

 

Robert : Umeona nyumbu wangapi, dada?

Alison : Elfu saba, mia nne, thelathini na mmoja!

Robert : Ulihesabu kila mmoja?

Alison : Kila mmoja.

Joshua : Kwa kweli sikuona jambo kama tulivyoona asubuhi. Kila tulikokwenda pana nyumbu. Ghafula walikuja.

Robert : Tazama pale!

John : Wapi?

Robert : Palepale, chini ya mti.

Alison : Mti upi?

Robert : Mti ulio mrefu sana. Kuna simba. Wamelala upande wa kulia.

Alison : Siwaoni.

Robert : Wamelala kwenye kivuli. Mmoja ni mkubwa kuliko wengine. Ni jike pamoja na watoto wawili. Tazama katikati ya kivuli. Mtaona sehemu yenye rangi ya kahawia-njano; ndiye simba.

Alison : Ninachokiona ni weusi tu. Sioni simba. Twende karibu kidogo, tupate kuwaona vizuri.

Robert : Sipendi kuwakurupua. Tusubiri kidogo. Ni desturi yao kuamka wakati huu. Labda wataamka baadaye kidogo. Tukae kimya…….

Alison : Makala ambayo unaiandika inahusu mbuga za wanyama?

Joshua : Haihusu mbuga tu. Mada nayo ni utalii. Hii ndiyo sababu nitakaa hapa hotelini siku moja zaidi. Hatutaonana kesho asubuhi maana mtaondoka mapema sana, siyo?

Alison : Sawa. Niambie jina lako kamili, pamoja na anwani yako, nikupelekee picha ambazo nimezipiga leo. Jina lako nani?

Joshua : Jina langu kamili ni Joshua Kisinda; ki-si-nda. Anwani ni hii: Sanduku la Posta, mbili, sita, saba, tisa, sifuri, Dar es Salaam. Utakapopeleka picha lazima uandike anwani yenu.

Alison : Kwa nini kamera yako haifanyi kazi leo?

Joshua : Bila shaka betri zimekwisha. Kwa bahati ninazo betri spea chumbani mwangu. Nitafurahi sana kupata picha za simba, hasa picha ya yule dume alipowaletea wengine mzoga.

Alison : Vilevile nitakupelekea picha zilizopigwa asubuhi, yaani za tembo, nyumbu, punda milia na twiga, pamoja na ile ya joka ambaye tulimwona karibu ya jabali kubwa.

Joshua : Nitafurahi sana.

Alison : Mbona umechelewa hivi?

John : Nilikuwa nikizungumza na Robert. Yuko nje anasafisha gari. Nilimrudishia kijitabu chake cha mbuga za wanyama.

Joshua : Mlisoma zile kurasa kuhusu mbuga ya Selous?

Alison : Tulisoma, ndiyo. Laiti tungekuwa na nafasi zaidi…….

John : Na pesa zaidi…….

Alison : Basi, Mimi nasikia njaa. Twende mezani! Ninyi mnakusudia kukaa hapa baa mpaka saa ya kifunguakinywa?

<원문출처 : Russell, J., Swahili (Abingdon, Teach Yourself Books, 1996), pp. 226-228.>

 

<관련어휘>

jabali(ma-) : 바위

jina lako kamili : 당신의 이름(your full name)

kifunguakinya(vi-) : 아침식사. cf.) kifunguamimba(vi-) : 첫 번째로 태어난 아이

laiti : 만약(if, only). cf.) Laiti ningejua.... : 만약 내가 알고 있었다면(If I only knew / If I had know).

mbuga(-) : 사바나 초원. cf.) mbuga za wanyama : 국립공원

mzoga(mi-) : 시신

 

4) 1.3 가축 또는 가금

 

<관련어휘>

baghala / nyumbu : 노새

bata bukini : 거위(goose)

bata(ma-) : 오리

farasi : 말

jogoo(ma-) : 수탉

kondoo : 양. cf.) ndama ya kondoo : 새끼 양, 어린 양.

mbuzi : 염소. cf.) ndama ya mbuzi : 새끼 염소. beberu(ma-) : 1. 숫염소. 2. 힘센 남자. 3. 악취를 풍기는 사람. 4. 제국주의 정책을 신봉하고 따르는 사람.

mbwa : 개

mtoto wa kuku / kifaranga(vi) : 병아리

ng'ombe : 소. cf.) ndama / ndama ya ng'ombe : 송아지. ng'ombe jike : 암소. fahali(ma-) /  maksai / mahsai : 수소.

nguruwe(-) : 돼지. nguruwe jike : 암퇘지. nguruwe dume : 수퇘지

paka(-) : 고양이

punda(-) : 당나귀

 

5) 1.4 포유동물

 

<관련어휘>

bweha : 자칼.

choroa : 오릭스(Oryx).

chui : 표범.

digidigi / dikidiki : 딕딕(Dikdik).

dolfini / pomboo(ma-) : 돌고래.

dondoro / dondoo : 작은 영양. 작은 영양의 일종인 funo와 유사한 초원지대의 동물.

dubu : 곰.

duma(-) : 치타.

fisi : 하이에나(Spotted Hyena).

fungo / ngawa : 사향 고향이(Civet cat).

funo / mindi : 작은 영양의 일종(Duiker).

kakakuona : 천산갑(Pangolin).

kiboko(vi-) : 하마.

kicheche(vi-) : 담비.

kifaru(vi-) : 코뿔소, 전차.

kima : 세이케스 원숭이(Sykes monkey).

kongoni : 큰 영양(Hart beest). 초원에서 사는 영양(nyumbu)과 비슷한 커다란 동물(nyumbu ambaye huishi porini).

kongoni / kunguni(-) : 큰 영양의 일종.

kulungu / kurungu / kungu / kuungu : 일렌드(Eland), 영양(antelope).

kuro / kuru : 큰 영양. 워터 벅(waterbuck). 영양과 비슷한 초원지대의 동물로 아주 단단한 가죽과 뿔을 지니고 있음(mnyama wa porini aliyefand na kulungu au ndama wa ng'ombe mwenye pembe na ngozi ngumu sana itumiayo kuwambia ngoma).

loma : 오소리.

mbuzi mawe :클립스프링어(klipspringer) 남아프리카산 작은 영양.

mbuzi mwitu : 야생 염소(Ibex).

mbwa mwitu / bweha-miraba : 들개(wild dog).

mbweha / bweha / mbweha-masikio : 여우, 박쥐 귀여우(Bat-eared fox).

mnyama mkali : 맹수.

muhanga : 개미 핧기(Aardvark).

mungunungu : 고슴도치(Porcuplne).

ngamia : 낙타.

ngawa : 살쾡이의 일종(Serval cat).

ngiri / ngruruwe mwitu : 멧돼지.

nguchiro : 몽구스(Mongoose).

nungu / nungunungu : 호저(豪豬), 산돼지의 일종(porcupine).

nyamera : 토피(Topi).

nyangumi : 고래.

nyani : 원숭이, 비비(baboon).

nyati(-) / mbogo(-) / ng’ombe mwitu : 물소, 버팔로(Buffalo).

nyegere : 오소리(Ratel).

nyumbu(-) : 노새(수나귀와 암말 사이의 잡종). 영양의 일종(=kongoni). 와일드 비스트(Wildebeest), 누(Gnu).

paa : 영양의 일종.

palahala : 영양(antelope), 검은 담비(sable).

panya : 쥐(rat).

pimbi-mdogo : 하이렉스(Hyrax).

pofu : 일란드(Eland), 영양(antelope).

pongo : 부쉬 벅(Bush buck).

popo(ma-) : 박쥐.

punda milia : 얼룩말.

simba : 사자.

sokwe : 침팬지.

sungura : 토끼.

swala-granti : 그란트 가젤(Grant's gazelle).

swalapala : 영양의 일종.

swala-pala / mpala / swala / paa : 임팔라(Impala).

swala-tomi : 톰슨 가젤(Tomson’s gazelle).

swara / swala(-) : 영양의 일종.

tandala : 쿠두(Kudu).

tembo / ndovu : 코끼리.

tohe : 리드벅(Reedbuck).

tumbili : 사바나 원숭이(vervet monkey, green monkey). 동남부 아프리카산 긴꼬리 원숭이.

twiga : 기린.

wibari / kwanga : 바위 너구리.

 

6) 1.5 파충류

 

<관련어휘>

chatu : 비단뱀(pathon).

chura(vy-) : 개구리.

kasa : (바다) 거북.

kenge : 모니터 도마뱀(Monitor lizard). 큰 도마뱀의 일종.

kinyonga(vi-) : 카멜레온.

kobe(ma-) / ngamba : (육지) 거북.

mamba (-) : 악어.

mjusi kafiri : 아가마 도마뱀(Agama lizard).

mjusi(mi-) : 도마뱀.

ndumakuwili : (발 없는) 도마뱀.

nyoka : 뱀.

swila : 코브라.

 

7) 1.6 곤충류

 

<관련어휘>

buibui(-, ma-) : 1. 거미. 2. 부이부이(스와힐리어 여성복장. 외출할 때 머리에서 발까지 뒤집어쓰는 옷.).

chawa : 이.

chungu : 흑 개미.

jongoo : 노래기.

kaa : 게.

kidudu(vi-) / kiidududu(vi-) : 작은 곤충, 미생물.

kipepeo(vi-) / pepeo(ma-) / nzigunzigu : 나비.

kiroboto(vi-) : 벼룩.

kiwavi(vi-) : 번데기, 유충.

konokono / koa(ma-) : 달팽이.

kunguni : 빈대.

kupe : 진드기.

mbu : 모기.

mbu mdogo : 하루살이.

mchwa / kumbikumbi : 흰 개미.

mdudu(wa-) : 곤충(일반적인 표현). dudu(ma-) : 큰 곤충.

mende : 바퀴벌레.

ndorobo / mbung'o / mbungu / chafuo : 째째 파리.

nge / ng'ge : 전갈.

nondo : 나방.

nyuki : 벌.

nzi / inzi : 파리.

nzige : 메뚜기.

panzi / parare : 여치.

sangara : (붉은 색) 개미.

siafu : 개미.

vunjajungu / vunjavunja / kivunjavunja(vi-) / kivunjajungu(vi-) : 버마재비.

 

8) 1.7 조류

 

<관련어휘>

bundi : 올빼미(owl).

chozi : 태양새(sunbird).

dudumizi : 뻐꾸기.

furukombe(ma-) / fukombe(ma-) / furukobe(ma-) : (아프리카 흰죽지) 참수리, 흰꼬리 수리, 물수리.

gogota / gongonola / kigogota(vi-) / kigong'ota(vi-) / kigotatota(vi-) / king'ota(vi-) : 딱따구리.

hajivale(ma-) : 개구리매.

heroe : 플라밍고, 홍학.

jurawa / zawaridi : 참새(sparrow).

kanga : 뿔 닭(Guinea fowl).

kasuku / dura : 앵무새(parrot).

kengewa : 매나 솔개의 일종.

kinega(vi-) / mbayuwayu : 제비(swallow).

kipanga(vi-) : 매.

koho : (독수리와 유사한) 물수리.

kongoti / ndege nuru : 아프리카 대머리 황새(Marabou stork).

korongo : 황새(stork).

korongo / rorongo : 헤론(heron), 왕관 두루미, 황새, 두루미, 학, 왜가리(Crowned crane).

kozi / kikiozi(vi-) : 새, 메종류.

kunguru : 까마귀.

kwale : 메추라기의 일종(partridge).

kwarara : 따오기(ibis).

kwenzi : 찌르레기(starling).

mbuni(-) : 타조.

mdiria : 물총새(kingfisher).

mnama : 노랑 피리새(Yellow weaver).

mnandi : 가마우지(cormorant).

mwari : 펠리컨(pelican).

mwewe : 매(hawk).

mzingi : 피리새(Weaver).

ndege karani : 비서 새(Secretary bird).

njiwa : 비둘기.

shakwe : 갈매기.

tai : 수리, 독수리(eagle).

tai mzoga : 콘돌, 독수리(vulture).

tandawala : 코리 버스타드(Kori bustard).

tausi : 공작.

yangeyange : 해오라기(egret).

나. 2. 구문연습

1) 2.1 Watoto wanachunga ndama

 

Watoto wanachunga ndama.

Fungua mlango punda watoke.

Nipe unga nisonge ugali.

Kaanga hao samaki.

Ngalawa imezama.

Punguza sauti ya redio.

Kikombe kimeanguka.

Waambie waache kugombana.

Tumeimba wimbo wa taifa.

Nipe jembe nikalime.

Mbuzi anakamuliwa.

Mbuzi ameliwa na simba machungani.

Nyoka anauma.

Nyuki anatupa asali.

Nyota zinawaka angani.

Mimi sili nyama ya nguruwe.

Weka hizi nyanya kabatini.

Tembo na pundamilia wanakula nyasi.

Shangazi atakuja nyumbani kesho.

Tembo ana shingo nene.

Tumeshinda mashindano ya michezo.

<원문출처 : Mariam G. Mkinga, Kiswahili Darasa la Kwanza : Kusoma na kuandika 1(MWF) (Dar es Salaam, Educational Books Publishers Ltd., 2002), pp. 22-25.>

2)

3) 2.2 Leo ni sikukuu

 

Leo ni sikukuu. Watoto wote tumependeza. Tumevaa nguo nzuri. Zina rangi za kuvutia. Nyumba zimepambwa kwa maua. Mama anapika chakula kizuri. Anapika wali na nyama. Nyumba yetu imepakwa rangi nyekundu, njano na bluu. Nyumba yote inang'ara. Mimi nimepata gauni la maua maua. Viatu vyetu vyote ni sare. baada ya chakula sote tutaondoka. Tutakwenda kumtembelea bibi.

<원문출처 : Rashid, M.K., Kiswahili Darasa la Kwanza (Iringa, Baraka Publishers Limited, 2003), p. 67.>

 

4) 2.3 Mayai

Kuku anataga mayai. Kuku akiangua mayai anapata vifaranga. Vifaranga ni watoto wa kulu. Bata na ndege wanataga mayai pia.

Sisi tunakaanga mayai ya kula. Siku nyingine tunayachemsha. Mayai huleta afya.

Uyoga huota porini. Uyoga hauna mizizi. Uyoga ni mtamu sana. Sisi tunapenda kula ugali kwa uyoga. Bibi ni fundi wa kuchagua uyoga mzuri.

<원문출처 : Mbilinyi, Dorothy A.S., Kiswahili: Darasa la Kwanza : Kitabu cha Mwanafunzi (Dar es Salaam, Ben and Company Ltd., 2002), p. 24.>

5)

6) 2.4 Mbuzi

Mbuzi wamo kwenye zizi. Baadaye watatoka nje. Watakwenda kula majani. Majani yake ni mazuri. Mbuzi wanapenda majani ya kwenye vichuguu. Watoto wa mbuzi hawa wanabaki nyumbani.

Wananyonya maziwa na kula majani kidogo. Mchana wanalala kivulini. Jioni wanaingia ndani kwenye chumba chao.

Babu anakamua maziwa ya mbuzi kila siku jioni. Anapenda maziwa ya mbuzi. Anasema kuwa yana dawa za kuzuia magonjwa. Maziwa ya mbuzi ni mazito. Mimi pia ninapenda maziwa ya mbuzi.

<원문출처 : Mbilinyi, Dorothy A.S., Kiswahili: Darasa la Kwanza : Kitabu cha Mwanafunzi (Dar es Salaam, Ben and Company Ltd., 2002), pp. 26-27.>

 

7) 2.5 Mvua

Mvua inasaidia mimea ikue vizuri. Wakati wa mvua watu hupanda mahindi, maharage, uwele, mtama na kunde. Huu ni wakati wa mvua nyingi. Mvua ikizidi sana, inaharibu mazao shambani. Pengine mvua huleta mafuriko. Mafuriko ni hatari. Mafuriko huweza kubomoa nyumba, barabara hata kuleta vifo kwa watu na wanyama pia. Mvua kubwa inanyesha. Jana pia mvua kubwa ilinyesha. Mito, mashimo, barabara na visima vingi vimejaa maji. Baba alituambia tusicheze nje wakati mvua inanyesha. Watoto wengi hupenda kucheza nje wakati mvua inayesha. Ni vitu vibaya kucheza nje wakati mvua inanyesha. Tukilowa tutapata homa. Tukichezea maji machafu tutapata vidonda miguuni. Ni vibaya kuchezea maji ya mvua. Maji hayo si safi. Maji ya mvua hubeba uchafu mwingi. Uchafu huo ni hatari kwa watu.

<원문출처 : Ndilime, D.M., Kiswahili 1: Shule za Msingi Tanzania : Darasa la Kwanza : Kitabu cha Mwanafunzi (Dar es Salaam, Macmillan Aidan, 2002), p. 76.>

<관련어휘>

asali(-) : 벌꿀.

bomoa : v. 부수다, 붕괴하다.

furiko(ma-) : 홍수.

haribu : v. 파괴하다.

homa(-) : 열병.

kidonda(vi-) : 상처.

kua : v. 양육하다, (사람, 동물이) 자라다.

kunde(-) : 콩.

loa : v. 젖다, 잠기다.

mtama(mi-) : 수수, 기장.

mwele(mi-) : 무웰레(수수 종류).

mwele(waele, wawele) : 불구자, 신체장애자, 앉은뱅이.

nyasi(ma-) : 풀, 목초.

nyoka(-) : 뱀.

nyota(-, ma-) : 별.

nyuki(-) : 벌.

uele / uwele(maele / ndewele) : 질병, 병, 아픔.

uma : v. 물다, 아프다.

uwele(mawele, nyele) : 수수 알곡.

zao(ma-) : 성과, 산물.

zidi : 1. v. 자라다, 증가하다. 2. (ma-) : 증가, 추가, 보너스.

8) 2.6 Idadi ya watu, mazingira ya mijini, msaada wa nje

Katika karne ya ishirini, idadi ya watu imeongeza maradufu. Penye ongezeko la watu pia huwa kuna shida zinazochipuka kama magonjwa na watu kuhamahama. Hii ni kutokana na idadi ya watu kuhama kutoka sehemu za mashambani na kuhamia katika miji mikubwa.

Miji kadhaa ilianzishwa wakati wa biashara ya kuhamahama huko pande za Kaskazini mwa Afrika. Kwa vile jamii zinaendelea kuhama na kuelekea mijini, watu wamezini kuongezeka hivyo kuacha wengi wao bila mahala pa kuzilaza nyoyo zao au mahali wanapowezakuita nyumbani.

Kule mashambani pia kuna shida kwani hakuna watu wa kutosha wa kupalilia vyakula mashambani. Hii inapunguza mazao mashambani. Pia kule mijini wizi na uharifu umeongezeka kwa vile watu ambao hawana kazi wanajaribu kuwa na mkono mrefu.

Magonjwa, nyumba mbaya za kuishi na ukosefu wa kazi ndio changamoto kubwa zinazowakumba watu wa mijini. Mbali na hayo, ukahaba umeongezeka kwani wasichana ambao hawana ajira lazima watafute pesa za kujimudu maishani. Hii inaongeza magonjwa ya zina sanasana kupitia njia za kujamiiana. Juhudi za kukabiliana na magonjwa haya, sanasana Ukimwi, zimegonga mwamba hivyo watu wanaendelea kuambukizana magonjwa kiholela.

<원문출처 : 아래의 내용을 요약하여 스와힐리어로 번역하였음. Gordon, April. A. & Gordon, Donald. L., Understanding Contemporary Africa (Boulder & London, Lynne Rienner Publishers, 2006), pp. 203-234(Population, Urbanization, and AIDS).

다. 3. 문법

1) 3.1 wakati wa의 용법

wakati wa는 뒤에 부정사가 따라오며 “~할 때(when)”를 나타낸다.

(1)

(2) Mfano)

(3) Wakati wa kusoma sana, ninajifunza. : 내가 공부를 열심히 할 때, 나는 배운다.

(4) Wakati wa walimu kufundisha , wanafunzi wanajifunza. : 선생님들이 가르칠 때 학생들은 배운다.

 

2) 3.2 사역동사

 

특정 모음이나 자음, 혹은 둘 모두를 어근이나 이미 첨가된 특수한 기능을 가진 형태에 붙였을 경우 의미에 새로운 기능이 더해지는 형태의 동사를 변형동사라고 하며 이미 제1부 스와힐리어 문법(Swahili Gramma)편에서 자세히 살펴보았다.

사역동사는 단순히 무언가가 일어나게 한다는 것이 아니라 누군가가 무엇인가를 하도록 돕거나 격려하거나 하게 하는 등의 의미를 모두 내포하고 있다.

동사를 사역형으로 만드는 접사(변형구성요소)는 sh나 z, 몇몇 경우에는 y가 될 수도 있다.

(a) 대부분의 동사에서 마지막 자음이 –k‐일 경우 사역형으로 바꾼다면 sh가 된다. k는 어근의 마지막 자음일 수도 있고(더 이상 거의 쓰이지 않지만) –waa의 상태동사인 ‐waka에서처럼 상태동사의 마지막 자음일 수도 있다. 하지만 모든 k동사가 이런 과정을 거치지는 않는다. 예를 들자면 아래 목록에 나온 –andika와 –cheka의 어근들이 바로 그 예이다.

 

Mfano) sh가 사용된 경우

‐amka(일어나다.) > -amsha(누군가를 깨우다.)

‐andika(쓰다.) > ‐andikisha(등록하다)

‐cheka(웃다.) > ‐chekesha(즐겁게 하다.)

‐chelewa(늦다.) > ‐chelewesha(누군가를 늦게 하다.)

‐chemka(끓다.) > ‐chemsha(무언가를 끓게 하다.)

‐kopa(빌리다.) > -kopesha(빌려주다.)

‐kumbuka(기억하다.) > ‐kumbusha(생각나게 하다.)

‐waka(빛이 나다, 타오르다.) > ‐washa(램프를 켜다, 불을 붙이다.)

‐weza(~을 할 수 있다.) > ‐wezesha(가능하게 하다, 힘을 부여하다.)

nya(떨어지다, (짐)을 내리다.) > -nyesha(비가 내리다.)

 

sh 형태의 단어가 가장 많이 나타나는 이유는 명사, 형용사, 부사들을 사역동사로 바꾸는데 쓰이기 때문이다.

(1)

(2) Mfano)

(3) bahati(운) > ‐bahatisha(운을 시험해보다, 추측하다.)

(4) fupi(짧은) > ‐fupisha(짧게 하다.)

(5) hakika(확실히, 분명히, 빨리) > ‐hakikisha(확실히 하다.)

(6) safi(깨끗한) > ‐safisha(깨끗하게 하다.)

(7) sahihi(고치다, 고정하다. (-) : 교정) > ‐sahihisha(틀린 것을 수정하다.)

(8) sawa(같은, 유사한, (-) 유사함, 닮음.) > ‐sawazisha(같게 하다.)

(9) tayari(준비가 된) > ‐tayarisha(준비하다.)

k‐가 sh로 바뀌면서 위에 나온 첫 번째 그룹의 동사들을 사역형으로 바꾸는 것처럼 l이 z로 바뀌면서 다음에 나오는 동사들 또한 사역형으로 바뀐다. 동사의 어근의 끝에서 l  형태가 사라지기 시작한지는 오래된 것으로 보인다. 여기서 예외는 끝에 l이 붙은 lal이다.

 

Mfano) z가 사용된 경우

(10) ‐jaa(배가 부르다.) > ‐jaza(무언가를 채우다.)

(11) elea(확연하다, 이해되다.) > ‐eleza(설명하다.)

(12) ‐kataa(거절하다.) > ‐kataza(금지하다.)

(13) ‐kimbia(도망가다.) > ‐kimbiza(쫓아가다.)

(14) ‐lala(눕다.) > -laza((침대에) 눕히다.)

(15) ‐pungua(줄어들다.) > ‐punguza(줄이다.)

(16) ‐ugua(병에 걸리다, 아프다.) > ‐uguza((아픈사람을) 간호하다.)

(17) ‐uma(다치게 하다.) > ‐umiza((누군가에게) 고통을 끼치다.)

(18) nyamaa(조용하다, 잠잠하다.) > -nyamaza(침묵을 지키다, 매우 조용하다.)

(19)  Nyamazeni, watoto! : 애들아, 아주 조용히 해!

어근의 마지막인 l‐을 잃은 모든 동사들이 반드시 l이 있던 곳에 z를 붙이는 것은 아니다. 몇몇 동사에서는 l을 빼고 sh나 z가 적합한 모음 뒤에 붙어 사역형을 만들기 위해 사용된다.

(20)

(21) Mfano)

(22) ‐jua(알다.) > ‐julisha(알리다.)

(23) ‐kaa(앉다.) > ‐kalisha((누군가를) 앉게 하다.)

(24) ‐zaa((아이를) 낳다.) > ‐zalisha(낳는 것을 돕다.)

n을 마지막 자음으로 가진 동사 어근만이 y 형태의 사역동사를 가진다. 동사 ‐ona는 2가지 형태의 사역동사를 가진다는 점에 유의해야 한다.

(25)

(26) Mfano)

(27) ‐onyesha(보이다, 지시하다, 가리키다)이다.

(28) ‐gawana(나누다.)120) > -gawanya(나눠가지다.)

(29) ‐kana(거절하다.) > ‐kanya(꾸짖다.)

(30) ‐ona(보다.) > ‐onya(경고하다.)

(31) ‐pona(낫다.) > ‐ponya(치료하다.)

 

(b) 상호관계를 나타내는 동사들의 사역형

상호관계를 나타내는 동사의 형태로 된 것들은 n을 마지막 자음으로 가지고 있지만 항상 sh로 사역동사를 만든다.

(32)

(33) Mfano)

(34) ‐patana(동의하다.) > ‐patanisha(사람들을 화해시키다.)

(35) ‐pendana(사랑하다, 서로를 좋아하다.) > -pendanisha(사람들 사이에화목을 가져오다.)

(36) ‐pigana(싸우다.) > ‐piganisha(싸움을 야기하다.)

 

 

(c) 단음절 동사들의 사역형

단음절 동사들의 절반 정도가 사역형을 가지고 있고 그들 모두가 공통된 쓰임새를 갖고 있지도 않다. 다음 예는 가장 자주 사용되는 것들이다.

(37)

(38) Mfano)

(39) ‐la(먹다.) > ‐lisha(먹이다, 방목하다.)

(40) ‐nywa(마시다.) > ‐nywesha(마시게 하다, 마실 것을 주다.)

(41) Utawalisha watoto hapa?  : 여기 있는 아이들을 먹일 겁니까?

(42) Tuliwanywesha wagonjwa maji. : 우리는 아픈 사람들에게 물을 좀 마시게 하였다.

(43) Mbuzi wanalisha pale. : 염소들은 저기서 방목되고 있다.

3) 3.3 상태를 나타내는 동사

 

동사 ingia(1. 들어오다, 들어가다. 2. ~에 관여하다, 참여하다. 3. 수입되다.)’이지만 상황에 따라 ‘~이 되다, ~한 상태가 되다.’라는 의미를 나타낼 때도 있다.

(1)

(2) Mfano)

(3) Kisu changu kimeingia kutu. : 내 칼은 녹이 슬었다.

(4) Miguu imeingia baridi.: 발이 차가워졌다.

(5) Nchi ile imeingia homa ya kuhara. : 그 지역에서 장티푸스가 발생하였다.

(6) Mji umeingia watalii. : 마을이 관광객들로 넘쳐난다.

 

상태를 나타내는 또 다른 동사는 ‐jaa(1. 가득 차다, 넘치다. 2. 풍부하다.)이다. 이것은 맨 앞에서 주어로 있는 명사의 기본 의미에는 아무런 영향을 끼치지 않는다.

(7)

(8) Mfano)

(9) Kisima kimejaa maji. : 우물이 물로 가득 차 있다.

(10) Maji yamejaa kisima. : 물이 우물에 가득 차 있다. 

4)

5) 3.4 접두사 ki의 용법

 

이미 앞에서 국가명에 접두사 ki를 넣으면 언어명이 된다는 것을 살펴보았다. 아래의 예는 또한 접두사 ki는 형용사와 명사에 붙어 부사로서 ‘방법(manner)’을 의미한다. 만약 명사에 접두사가 있다면, ki로 대체할 수 있다.

(1)

(2) Mfano)

(3) Alisema kitoto. : 그녀는 어린애같이 말했다.

(4) Waliimba Kizungu. : 그들은 유럽 사람처럼 노래를 불렀다.

(5) Amevaa Kizaire. : 그녀는 자이르 패션 방식으로 옷을 입었다.

 

아래의 예는 형용사를 만들어 ‘유형(type)'을 나타낸다. 연결어(of) + ki + 명사 형태로 형용사가 된다.

(6)

(7) Mfano)

(8) ya kirafiki : 친절한

(9) ya Kisukuma : 수쿠마(Sukuma) 족 타입의

(10) desturi za Kibantu : 반투족의 문화

(11) michezo ya kitoto : 어린아이 같은 게임 / 놀이

(12) nguo za kitaifa : 국가적인 옷

(13)

6) 3.5 주어가 여러 개 사용되는 경우 주격접사의 선택

 

주어가 1개 이상이며 다른 부류체계에 속할 경우에는 주격접사의 선택에 유의한다. 만약 예문에서처럼 주어가 단단한 것을 표시한다면 vi-를 사용한다.

(1)

(2) Mfano)

(3) shamba(MA), ghalo(N) na nyumba ya nyanya(N) vilikuwa vimeharibika. : 농장, 창고, 할머니의 집이 부서졌다.

(4) cf.) shamba(ma-) : 농장. ghala(-,ma-) : 창고, 저장고.

 

또 다른 방법은 마지막으로 언급된 주어에 맞추어 접두사를 사용하는 것이다. 만일 단어가 추상명사고 U class외의 것도 있다면 zi, u 또는 마지막 주어에 맞는 접두사를 사용할 수 있다. 사람이나 동물을 나타내는 명사와 사물 명사를 주어로 함께 사용하는 것을 피한다.

(5)

(6) Mfano)

(7) Watoto hawatasahauliwa wala nyimbo zao. : 아이들은 그들의 노래도 잃어버리지 않을 것이다.

7)

8) 3.6 조건절을 만드는 방법

라.

마. 조건절을 만드는 방법은 앞에서 개별적으로 살펴 보았는데 정리하면 다음과 같은 방법이 있다. 이들 중 2개는 i-라는 주격접사로 시작되는데 동사복합문형을 나타내고 있지만 관용적으로 사용된다.

바.

(1) Mfano)

(2) Ikiwa atakuja mpe vitabu hivi. : 만약 그 / 그녀가 오면 이 책들을 줄 것이다.

(3) Iwapo atakuja mpe vitabu hivi.

(4) Kama atakuja mpe vitabu hivi.

(5) Akija mpe vitabu hivi.

 

 

사. 4. 단어 및 어휘 정리

 

acha : v. 떠나다, 포기하다.

anga(ma-) : 1. 빛. 2. 직관. 3. 하늘, 상공

angua : v. 부화하다, (과일을) 떨어뜨리다.

anguka : v. 떨어뜨리다, 넘어지게 하다.

baki : 1. v. 남다, 머물다. 2. (ma-) : 잔류자, 나머지.

bluu / buluu / kibuluu(-) : 푸른 색. cf.) a kijani : 푸른색의.

chagua : v. 선택하다, 고르다.

chunga : v. 간호하다, 돌보다. cf.) mchungaji(wa-) : 양치기, 목자.

ekundu : adj. 빨간.

fundi / funzi(-) : 기술자.

gauni(ma-) : 가운, 긴 겉옷.

kaanga : v. (기름으로) 튀기다, 볶다.

kaanga : v. 기름으로 볶다, 튀기다. cf.) mayai ya kukaanga : 프라이한 계란.

kamua : v. ~을 쥐어 짜다.

kamua : v. ~을 쥐어짜다.

kichuguu(vi-) : 개미집.

kichunguu(vi-) : 1. 수풀. 2. adj. 날카로운, 신랄한.

kinyonga(vi-) : 카멜레온.

kunguni(-) : 곤충, 벌레.

kunguru(-) : 까마귀의 일종.

machungani / machunga : 목초지, 방목장.

mzizi(mi-) : 뿌리.

ndama(-) : 송아지.

nene : adj. 뚱뚱한. cf.) embamba : adj. 날씬한.

ng’ara / ng’aa / ng’ara / ng’ala : 빛나다, 번쩍이다.

njano(-) : 노랑.

nyonya : v. (아이나 동물이) 빨다.

ota : v. 1. 자라다, 크다. 2. 앉다, 털썩 앉다. 3. 꿈꾸다. 4. 표시하다, 가리키다.

paka : 1. v. 바르다, 칠하다. 2.(-) : 고양이.

pamba : v. 1. 장식하다, 꾸미다. 2. 준비하다. 3. 가구를 들이다.

pamba(-) : 목화, 면, 솜, 솜옷.

panua : v. 열다, 펼치다, 확장하다.

punga : v. 감소하다, 줄이다. cf.) ongea : 자라다, 성장하다, 증가하다.

rungu / lungu(-) : 곤봉, 마사이족이 가지고 다니는 무기.

sare(-) : 유니폼, 제복.

shingo(ma-) : 목.

shoka(ma-) : 도끼.

songa : v. : 누르다, 짜다.

taga : v. 1. v. (알을) 낳다. 2. (ma-) : 나뭇가지, 분기점, 갈래.

tembea : v. 1. 걷다, 거닐다. 2. 여행하다. 3. 산책하다, 거닐다. cf.) tembelea : v. 방문하다, 찾아가다.

tupa : v. 던지다, 버리다.

unyasi(nyasi) : 풀, 목초.

ushanga(shanga, ma-) : 목걸이.

uyoga(nyoga) : 버섯, 독버섯.

vuta : v. 끌다, 잡아당기다.

zama : v. 침몰하다, 가라앉다.

zito : adj. 1. 무거운. 2. 엄한, 모진. 3. 활기 없는. 4. 서투른. 5. ~이 가득한, 풍부한. cf.) uzito : 무게, 중량.

zizi(ma-) : 우리, 담.

zuia : v. 멈추게 하다, 방해하다. 제한하다.

<속담>

●Afadhali dooteni kama ambari kutanda. : 갖기 힘든 것보다 하찮은 것이라도 가지고 있는 것이 낫다.

●Fimbo iliyo mkononi, ndiyo iuayo nyoka. : 손에 쥔 막대기가 바로 뱀을 죽일 수 있는 것이다.

●Radhi ni kubwa zaidi ya mali. : 만족은 부유함보다 더 큰 것이다.

 

멀리 있는 이익보다 현실의 이익이 더 중요하다는 것을 설명하고 있다. 우리가 가질 수 없는 위대한 것보다는 사소한 것이라도 가질 수 있는 것에 만족해야 한다는 뜻이다.