언어/스와힐리어 연구

제1부. 스와힐리어 문법(Kiswahili Grammar) - 18장. 스와힐리어의 호응과 일치(Concordial Agreement) 정리

africa club 2015. 3. 15. 21:08

35.

36.

제 18 장

① 스와힐리어의 호응과일치(Concordial Agreement)정리

 

 

 

가. 1. 호응과 일치

 

스외힐리어에서 모든 명사들은 각각의 명사들이 갖는 의미범주에 따라 8개의 부류로 나누어지며 따라서 모든 명사는 반드시 하나의 집단에 속하여 분류된다. 각 명사의 복수형태는 어근은 변화되지 않으며 부류접사(prefix)로써 단수와 복수를 구별한다. 따라서 명사는 한 벌의 쌍으로 숙지하는 것이 좋다.

문장이나 구에서 명사들을 수식하는 단어들은 문장이나 구에서 나오는 명사가 속한 부류의 호응(concord) 또는 일치(agreement)현상을 문법적으로 정확하게 따라야 한다. 따라서 각각의 명사부류는 주격 호응접사(Subjective Concord) 또는 동사적 호응접사(Verbal Concord), 목적격 호응접사(Objectival Concord), 형용사격 호응접사(Adjectival Concord) 그리고 관계대명사 호응접사(Relative Concord) -o, 연결 호응접사(Connective Concord) “~의(-a)소유대명사, 지시대명사(근칭, 원칭, 기지칭), 의문대명사 “어느, 어떤(-pi)”, 강조계사 “바로 ~이다(ndi)”, 양사 “모든(-ote)”, “어떤(-o ote)", "~을 지닌(-enye)”등이 속하는 대명사적 호응접사(Pronominal Concord)82)를 가지고 있으며 이러한 호응관계를 얼마나 빨리 습득하는가가 스와힐리어 학습을 결정짓는 중요한 요소다. 예를 들어 명사구를 형성하는 형용사, 수사, 소유대명사, 지시대명사는 명사구의 중심부를 형성하는 명사의 부류에 따라 호응접사가 결정된다. 그러므로 명사의 부류체계는 명사자체뿐만 아니라 문장을 구성하는데 있어서도 결정적인 역할을 한다고 할 수 있다.

아래의 표와 예문에서 볼 수 있는 것처럼 스와힐리어에서는 이렇게 나누어지는 명사부류체계의 호응접사에 따라 철저한 일치현상(concordial agreement)이 이루어진다. 즉 동사, 형용사, 그리고 몇몇 전치사들(enye, engine)은 어근으로 시작되며 관련된 명사의 접두사(prefixes)와 접미사(suffixes)가 반드시 온다. 결론적으로 스와힐리어를 배우는 모든 학생들은 스와힐리어 구 또는 문장을 분석하여 설명할 수 있어야 한다.

 

<표 5> 호응접사2

                   호응

     부류

형용사적 호응접사

주격/대명사적 호응접사

동사적 호응접사

1인칭

2인칭 사람

 

 

ni-, tu-

u-, m-

m/wa(1/2)

m/mi(3/4)

(ji)/ma(5/6)

n(9/10)

ki/vi(7/8)

u(11-14)

ku(15)

pa/ku/mu(16-18)

m/wa

m/mi

(ji)/ma

ki/vi

ki/vi

(u)-m/n-

ku

pa/ku/mu

yu-(ye)/wa

u/i

li/ya

ki/vi

i/zi

u/zi

ku

pa/ku/mu

a/wa

u/i

li/ya

ki/vi

I/zi

u/zi

ku

pa/ku/mu

여기서의 일치는 수식어 앞의 명사 접두사를 복사(copying)함으로써 이루어진다. 동일한 과정은 명사주어와 동사의 경우에도 발생한다.

 

① 동사가 주어와 일치하는 경우

 

Mfano)

Watoto wanasoma. : 아이들이 공부한다(The children are studying.).

Kisu kimeanguka. : 칼이 떨어졌다(The knife has fallen.).

Kiti kimevunjika. : 의자가 부러졌다.(The chair has broken.).

 

② 형용사가 명사와 일치하는 경우

 

Mfano)

maua mazuri : 아름다운 꽃들(beautiful flowers)

Kisu kizuri hiki. : 이 좋은 칼(this good knife)

Watu wazuri hawa : 이 좋은 사람들(These good people)

 

③ 일치현상은 결과적으로 두운이 일어난다.

 

Mfano)

Watoto wahcafu wanne wanacheza na mbwa mfupi mnene. : 4명의 지저분한 아이들이 작고 뚱뚱한 개와 놀고 있다.(Four dirty children are playing with a short fat dog.).

 

④ 접두사와 접미사의 일치가 언제나 동일한 것은 아니다.

 

Mfano)

Mawaziri wote ambao wanacheza mpira wanatoka jasho. : 축구를 하고 있는 모든 장관들은 땀을 흘리고 있다.(All the government ministers who are playing soccer are sweating.).

 

사람 또는 동물을 나타내는 명사로서 다른 부류체계에 속한다 하더라도 일치는 m/wa class의 일치를 따른다. 예를 들어 kiboko(vi-)라는 단어는 하마로 동물이지만 ki/vi class에 속하는 명사다. 이때 문장에서 일치는 ki/vi class를 따르지 않고 m/wa class를 따르는 것에 주의해야 한다.

 

Mfano)

kiboko mkubwa : 큰 하마

kidege mmoja ; 작은 새 한 마리

kijana mzuri : 훌륭한 젊은이

kiongozi mzuri : 훌륭한 지도자

nyoka mbaya : 나쁜 뱀

sungura mjanja : 교활한 토끼

Daktari mpya amefika. : 새로운 의사가 도착했다.

Mafundi wamemaliza kujenga. : 장인(craftsmen)이 건물을 완성했다.

Kijana wetu amemaliza darasa la saba. : 우리의 청년이 제 7 학년을 마쳤다.

Vibarua walifanya kazi mchana kutwa. : 일당 노동자가 하루 일을 마쳤다.

Seremala anatengeneza mlango. ; 목수가 문을 수리했다.

Nguruwe wote wamechinjwa. : 모든 돼지들이 도살되었다.

※ 그러나 n class 명사 중 사람을 나타내는 단어, 특히 인척관계의 단어들은 소유대명사가 수식할 때 예외적으로 n class 전철을 따른다. 

 

Mfano)

mama yangu : 나의 엄마

dada yangu : 나의 여자형제.

dada zangu : 나의 여자형제들

 

※ 외삼촌을 나타내는 단어인 mjomba(wa-)는 단수일 때는 m/wa class의 전철을 따르지만 복수일 때는 n class의 전철을 따르는 것에 주의한다.

 

    Mfano)

    Mjomba wangu : 나의 외삼촌

    Wajomba zangu : 나의 외삼촌들

 

※ 그러나 사람을 나타내는 명사라 할지라도 아랍어에서 차용된 형용사와 수사가 수식할 때는 호응에서 제외된다는 사실을 주의하여야 한다. 이러한 규칙은 다른 부류접사에서도 동일하게 나타난다(실제로는 혼용되어 사용된다).

 

Mfano)

hodari : 유능한, 용감한, 똑똑한

kamili : 완전한, 완벽한

saba : 7

safi : 깨끗한, 순수한

tele : 많은, 풍부한

muhimu : 중요한, 긴박한

 

Mfano)    

mtu hodari wa kazi : 일을 잘하는 사람, 유능한 사람

mtu kamili : 완벽한 사람

watu saba : 일곱명의 사람들

mtu muhimu : 중요한 사람

 

 

나. 2. 주의하여야 할 호응과 일치의 정리

 

스와힐리어에서 일치표는 가장 주요한 문법적 요소로서 반드시 완벽하게 숙지하여야 한다. 또한 아래에 제시된 일치표의 사용을 자유자재로 사용할 수 있어야 한다. 다음 내용은 일치를 만드는 규칙을 정리한 것이다.

 

① 소유격 접사 / 연결어(of)가 사용되는 일치 : 소유대명사(28-29쪽)의 일치는 각 부류접사의 연결어(of) + 소유대명사의 형태로 사용한다.

 

     Mfano) mwalimu wangu : 나의 선생님.

            mama yangu : 나의 엄마.

 

② 목적격 접사(O.P)가 사용되는 일치83) : 첫째, “모든(-ote)” / “그 어떤 것이라도, 누구든지 간에, 무엇이든 간에, 어느 것이라도(-o -ote)” 는 목적격 접사(O.P.)와 함께 사용되어 O.P. + -ote / -o-ote의 형태로서 사용된다. 그러나 sisi sote, ninyi nyote는 통사적 호응이 아니라 단순한 음운모사로 이해해야 한다. 둘째, “~을 지닌(-enye)84), “자신의(-enyewe)“는 O.P. + enye / enyewe의 형태로 사용된다.

 

    Mfano) vitu vyenyewe : 물건 그 자체.

           Kiti chenyewe hakitembei. : 의자는 스스로 움직이지 않는다.

           chumba chenye giza : 어두운 방.

           Vyumba vyenye giza : 어두운 방들

           Mlima wenye mawe : 돌 언덕.

           Mti wenye miiba : 가시나무

           (Mtu) mwenye mali : 부자.

           (Watu) wenye maarifa : 지식이 많은 사람들.

           Chumba chenyewe : 방 그 자체.

           Viti vyenyewe : 의자들 그 자체.

           kwenye basi : 버스가 있는 곳

           Mtoto amekaa kwenye majani. : 풀(잎) 위에 앉아 있는 아이

           Mahali penye maji ni pazuri. : 물이 있는 장소는 좋은 곳이다.

           Kwenye miti mtu amejenga nyumba. : 나무가 있는 곳에 (어떤) 사람이 집을 지었다.

           Mimi nina shughuli kwenye benki. : 나는 은행에서 일이 있다.

           Mtu mwenye mali : 재산을 가진 사람

           nyumba yenye paa la bati : 함석 지붕을 가진 집

           Kitabu chenye picha : 그림이 있는 책

           gauni lenye mikono : 소매가 있는 가운 옷(가운)

           Mwite yule mwenye kofia. : 모자(코피아)를 가진 저 사람을 불러주세요.

           Kiti chenye miguu mitatu. : 3개의 다리를 가진 의자.

           Chai yenye sukari : 설탕을 넣은 차

           Mimi mwenyewe nimemwona. : 나 스스로 그를 보았다.

           Chumba chenyewe ni kidogo sana. : 방 자체가 아주 작다.

           Barua zenyewe zimepotea. : 편지 그 자체를 잃어버렸다.

           Sisi sote tumekwenda kule. : 우리는 모두 그곳에 갈 것이다.

           Kitambaa chote ni kichafu. : 모든 천이 더럽다.

           Nyumba zote ni zangu. : 모든 집들이 나의 것이다.          

           Uliza mtu ye yote mwenye saa. ; 시계를 가진 어떤 사람에게 물어라.

           Mpe mzee yule kitu cho chote. : (너희들은) 어떤 것이라도 저 노인에게 주어라.

           Ninahitaji msaada wo wote. : 나는 어떤 도움이라도 필요하다.

 

③ 주격접사(S.P.)와 관계격 접사(R.P.)가 사용되는 일치 : 주격접사(S.P.)와 관계격 접사(R.P.)를 이용하여 지시대명사가 만들어진다. 지시대명사 "이것"일 경우 “h-"가 기본이 되어 h + 주격 접사의 모음을 반복하여 만들고 ”그것“일 경우 ”h-o"가 기본이 되어 지시사 “이것”의 앞부분 + 관계격 접사가 더해져서 만든다. 그리고 “저것”은 기본형이 “-le"가 되어 S.P. + le가 더해져서 만들어 진다.

 

④ 관계격 접사(R.P)와 사용되는 일치 : 첫째, “바로 ~이다(ndi-)”는 반드시 관계접사(R.P.)가 더해져서 ndi + R.P.의 형태로 사용된다.85) 둘째, “~와(na-)”는 관계 접사(R.P.)와 함께 사용되어 na + R.P.의 형태로서 사용된다.86)

 

     Mfano) Pole pole ndio mwendo. : 천천히 천천히(가는 것이) 바로 가는 것이다.(천천히 천천히 가도 목적지에 간다.)

             Mwalimu alikwenda nacho. : 선생님은 그것을 가지고 가셨다.

             Bwana arusi ni Daudi, ndugu yake Mohamed. Babake ni yule mwenye duka karibu na hoteli. Ni mzee                   ambaye tuliongeanaye jana. : 신랑은 다우디인데 그의 형제는 모하메드다 그의 아빠는 호텔 근처에 가게를                                                 가지고 있는 그 분이다. 우리가 어제 (그와) 만났던 그 어른이다.

 

⑤ 주격 접사(S.P.)와 사용되는 일치 : 첫째, 주격접사 + 계사 “~이 있다(-po, -ko, -mo)”, 둘째, 주격접사 + 의문사 어느, 어떤(-pi?), 셋째, 주격접사 + 동사 “가지고 있다(na)"로 사용된다.

 

     Mfano) Mimi niko shuleni. : 나는 학교에 있다.

            Hamisi yuko wapi? : 하미시는 어디에 있니?

            Mimi niko hapa. : 나는 여기에 있다.

            Yeye ni mtu yupi? : 그는 어떤 사람이야?

            Kiti chako ni kiti kipi? : 그의 의자는 어떤 의자야?

            Atafanyapi? : 그는 그것을 어떻게 할까?

            Mimi nina kitabu. : 나는 책을 가지고 있다.87)

            Hakuna matata. : 문제 있다.

가. <표 6> 스와힐리어 일치표(Concordial Agreement)

      일치의

     여러 가지          경우

 

  명사의 군

명사

명사전철

class prefix

형용사

-zuri 좋은

-eupe 흰

많은

-ingi

다른

-ingine

수사

연결어

~의

-a

소유

형용사

-angu

나의

~을 지닌

-enye

동사전철

지시어

계사

copula

의문사

어느, 어떤

-Pi?

관계어

모든

-ote

any

-o, ote

~와

na-

주격

s.p

목적격

o.i

-le

h

h-o

-ko

-po

-mo

ndi-

(바로

~이다)

M-WA Class

(WATU Class)

sg

mzee

mwana

muumba

m

mw

mu

mzuri

meupe

 

 

mwingine

mmoja

 

 

wa

wangu

 

 

wenye

mwenye

 

1. ni

2. u

3. a(yu)

ni

ku

m(w)

yule

 

 

huyu

 

 

ye

yeye

hyyo

yuko

 

 

yupo

 

 

yumo

 

 

ndjye

 

 

yupi

 

 

ye

 

 

yote

 

 

ye yote

 

 

naye

 

 

pl

wazee

wana

waumba

wa

 

 

wazuri

weupe

 

wengi

 

 

wengine

 

 

wawili

 

 

wa

 

 

wangu

 

 

wenye

 

 

1. tu

2. m

3. wa

tu

wa

wa

wale

 

 

hawa

 

 

hao

 

 

wako

 

 

wapo

 

 

wamo

 

 

ndio

 

 

wapi

 

 

o

 

 

wote

 

 

wo wote

 

 

nao

 

 

M-Mii Class

(MITI Class)

sg

mfuko

mwavuli

m

mw

mzuri

 

 

mwingine

 

mnoja

 

wa

 

wangu

 

wenye

 

u

 

u

 

ule

 

huu

 

huo

 

uko

 

upo

 

umo

 

ndio

 

upi

 

o

 

wote

 

wo wote

 

nao

 

pl

mifuko

miavuli

mi

 

mizuri

 

mingi

 

mwingine

 

miwili

 

ya

 

yangu

 

yene

 

i

 

i

 

ile

 

hii

 

hiyo

 

iko

 

ipo

 

imo

 

ndiyo

 

ipi

 

yo

 

yote

 

yo yote

 

nayo

 

(JI)-MA Class

(MATUNDA Class)

sg

jicho

jino

ua

ji

j

φ

zuri

jeupe

 

 

jingine

 

moja

 

la

 

langu

 

 

lenye

 

li

 

li

 

lile

 

 

hil

 

 

hilo

 

liko

 

lipo

 

limo

 

ndilo

 

lipi

lo

 

lote

 

lo lote

 

nalo

 

pl

macho

meno

maua

ma

m

 

mazuri

meupe

 

mengi

 

mengine

 

mawili

 

ya

 

yangu

 

 

yenye

 

ya

 

ya

 

yale

 

 

haya

 

 

hayo

 

yako

 

yapo

 

yamo

 

ndiyo

 

yapi

 

yo

 

yote

 

yo yote

 

nayo

 

KI-VI Class

(KITU Class)

sg

kitabu

choo

ki

ch

kizuri

cheupe

 

kingine

 

kimoja

 

cha

 

changu

 

chenye

 

ki

 

ki

 

kile

 

hiki

 

hicho

 

kiko

 

kipo

 

kimo

 

ndicho

 

kipi

 

cho

 

chote

 

cho chote

 

nacho

 

pl

vitabu

vyoo

vi

vy

vizuri

vyeupe

vingi

 

vingine

 

viwili

 

vya

 

vyangu

 

vyenye

 

vi

 

vi

 

vile

 

hivi

 

hivyo

 

viko

 

vipo

 

vimo

 

ndivyo

 

vipi

 

vyo

 

vyote

 

vyo vyote

navyo

 

N-Class

sg

nyumba

kalamu

n

φ

nzuri

nyeupe

 

nyingine

 

moja

 

ya

 

yangu

 

yenye

 

i

 

i

 

ile

 

hii

 

hiyo

 

iko

 

ipo

 

imo

 

ndiyo

 

ipi

 

yo

 

yote

 

yo yote

 

nayo

 

pl

nyumba

kalamu

n

φ

nzuri

nyeupe

nyingi

 

nyingine

 

mbili

 

za

 

zangu

 

zenye

 

zi

 

zi

 

zile

 

hizi

 

hizo

 

ziko

 

zipo

 

zimo

 

ndizo

zipi

 

zo

 

zote

 

zo zote

 

nazo

 

U-Class

sg

ufunguo

u

mzuri

 

mwingine

mmoja

wa

wangu

wenye

u

u

ule

huu

huo

uko

upo

umo

ndo

upi

o

wote

wo wote

nao

pl

funguo

φ

nzuri

nyingi

nyingine

mbili

za

zangu

zenye

zi

zi

zile

hizi

hizo

ziko

zipo

zimo

ndizo

zipi

zo

zote

zo zote

nazo

KU-Class

sg

kuimba

ku

kuzuri

 

kwingine

 

kwa

kwangu

kwenye

ku

ku

kule

huku

huko

 

 

 

ndizo

kupi

ko

kote

ko kote

nako

pl

kuimba

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

MAHALI-

Class

sg

pahali

kwetu

mahali

pa

ku

mu

pazuri

kuzuri

muzuri

pengi

kwingi

nwingi

pengine

kwingine

mwingine

pamoja

(together)

kuwili

(twoways)

pa

kwa

mwa

pangu

kwangu

mwangu

penye

kwenye

mwenye

pa

ku

m(mw)

pa

ku

m

pale

kule

mle

hapa

huku

humu

hapo

huko

humo

 

papo

 

 

 

ndipo

ndiko

ndimo

papi

kupi

mpi

po

ko

mo

pote

kote

mwote

po pote

ko kote

mwo mwote

napo

nako

namo

나.

Mfano)

1. Mtoto wangu mzuri. : 나의 좋은 아이

  cf.) mtoto(wa-) : 아이, 어린이. -zurii : adj. 좋은

2. Watoto wetu wazuri wengine.: 우리의 다른 좋은 아이들

  cf.) -ingine : adj. 다른, 별도의

3. Mtoto wa mwalimu wa Kiingereza ni yupi? : 아이의 영어선생님은 누구냐?

4. Wanafunzi wenye vitabu vya historia ni wangapi? : 얼마나 많은 학생들이 역사책들을 가지고 있느냐?

  cf.) kitabu(vi-) : 책. historia(-) : 역사, 이야기

5. Mtoto alimpiga mbwa. : 어린아이가 개를 찼다.

  cf.) piga : v. 때리다, 치다. mbwa(-) : 개

6. Mtoto aliyempiga mbwa. : 개를 찬 아이 / 어린아이가 개를 찼다.

7. Watoto wanapendana : 어린아이들은 서로 좋아한다.

  cf.) penda : v. 사랑하다, 좋아하다.

8. Watoto wanaopendana. : 서로 좋아하는 어린아이 / 어린아이들은 서로 좋아한다.

9. Mti uliiangukia nyumba. : 나무가 집에 쓰러졌다.

  cf.) angua : v. 떨어뜨리다, 내던지다.  anguka : v. 떨어지다, 넘어지다, 영락하다. nyumba(-) : 집, 거처, 거주지

10. Mti ulioiangukia nyumba. : 집에 쓰러진 나무 / 나무가 쓰러졌다.

11. Kiti chako kizuri. : 너의 좋은 의자

   cf.) kiti(vi-) : 의자.

12. Viti vyenu vizuri vingine. : 너희들의 다른 좋은 의자들

13. Kitabu hiki ni cha mwalimu yule? : 이 책이 그 선생님의 것이냐?

14. Nyumba yake nzuri nyingine. : 그의 다른 좋은 집

15. Nyumba zao nzuri. : 그들의 좋은 집들

16. Nyumba ile yenye milango ya mbao ina madirisha mangapi? : 판자도 된 문들을 가진 저 집은 몇 개의 창문들을 가지고 있느냐?

   cf.) mlango(mi-) : 문. ubao(mbao) : 널빤지, 판자, 칠판. dirisha(ma-) : 1. 창문, 2. 사각형, 직사각형

17. Nyumba zile zenye milango ya mbao zina madirisha mangapi? : 판자로 된 문들을 가진 저 집들은 몇 개의 창문을 가지고 있느냐?

18. Ubao utakakatwa na mwalimu. : 널빤지가 선생님에 의해 잘려질 것이다.

   cf.) kata : v. 자르다, 분할하다.

19. Ubao utaokatwa na mwalimu. : 선생님에 의해 잘려질 널빤지 / 널빤지가 선생님에 의해 잘려질 것이다.

20. Ugonjwa ulimtapisha mwanafunzi. : 병이 학생을 토하게 했다.

   cf.) tapika : v. 구토하다, 게우다, 배멀미하다. tapishi / tapisho(ma-) : 메스꺼움, 뱃멀미

21. Ugonjwa uliomtapisha mwanafunzi. : 학생을 토하게 한 병 / 병이 학생을 토하게 했다.

22. Kupenda kulimletea matatizo. : 사랑하는 것은 그에게 문제를 가져온다.

   cf.) leta : v. 가져오다. matatizo : 문제, 업무, 일. tata : v. 1. 복잡하게 엉키다, 까다롭게 하다. 말려들게 하다. 2. (ma-) : 복잡, 분규, 혼란, 문제

23. Kupenda kulikomletea matatizo. : 문제를 가져오는 사랑 / 사랑하는 것은 그에게 문제를 가져온다.

24. Mahali hapa panatupendeza. : 이 장소는 우리를 기쁘게 한다.

   cf.) mahali / mahala(-) : 장소, 곳, 상황

25. Mahali hapa panapotupendeza. : 우리를 기쁘게 하는 이 장소 / 이 장소는 우리를 기쁘게 한다.

26. Mahali pale penye watoto wengi ni nyumbani pangu. : 많은 아이들이 있는 저 장소는 나의 집이다.

27. Chumbani mlikuwa na wanafunzi. : 방에 학생들이 있었다.

   cf.) kuwa : ~이 되다, ~이다. kuwa na는 "~을 가지고 있다"는 뜻으로 과거시제와 함께 과거형을 나타낼 때는 likuwa na 미래시제에서는 takuwa na로 사용한다. chumba(vyumba) : 방

28. Chumbani mlimokuwana na wanafunzi. : 학생들이 있는 방 / 방에 학생들이 있었다.

가. 3. 명사부류체계 구문연습

 

1) 3.1 M/Wa Class 구문 연습

2)

1. Ali na Juma ni walevi wakubwa?

2. Ana ng'ombe, mbuzi na kondoo wanono kijijini.

3. Ana wanyama wakubwa wanono?

4. Baba yako yumo nyumbani?

5. Baba yangu anafanya kazi mjini.

6. Baba yetu ni mwalimu.

7. Baba zetu wapo barazani?

8. Beberu huyu mkubwa atakimbia msituni.

9. Hakuna wanyama wakali Ulaya?

10. Hamisi na Ali ni kaka zake Juma?

11. Je, watu wanazaa nini?

12. Jogoo yule yuko wapi?

13. John ni mwislamu?

14. Karani wenu amekimbia?

15. Kihongwe wako amepotelea wapi?

16. Kijana ataimba kanisani.

17. Kinyozi wa watu hawa yumo chumbani?

18. Kipepeo mzuri ametua tawini.

19. Kuna farasi wengi Somalia?

20. Kuna tembo wengi Ghana.

21. Kuna wadudu mjini na vijijini.

22. Maaskofu watatu watahubiri kanisani.

23. Mabeberu hawa wanono ni wa baba yenu?

24. Mabibi hawa wazuri watapika jikoni.

25. Mabwana wale watafanya kazi kijijini.

26. Majogoo wale ni wako?

27. Mapadre wao si wabaya.

28. Mbu mbaya wa Tanga ameuma/ameng’ata mtu.

29. Mchawi yule ana hatari!

30. Mdudu huyu chandaruani anauma/ameng’ata watu?

31. Mdudu mdogo mmoja ametua ukutani.

32. Mke wa mpishi huyu ni mzuri.

33. Mke wa rafiki yako ana watoto wengi?

34. Mna wanyama wakali?

35. Mnyama mkali anakimbia porini.

36. Mreno yule wa Lisbon ni mgeni wetu kijijini.

37. Mtakunywa barazani au chumbani?

38. Mtakwenda sokoni au dukani?

39. Mtoto mdogo anacheza barazani.

40. Mtoto wa Ali yupo barazani?

41. Mtoto wetu hayumo chumbani?

42. Mtu yule ana moyo mzuri.

43. Mtume wao atafika?

44. Mume wa Asha ni mwema?

45. Mvulana huyu ana dada wawili na kaka mmoja?

46. Mwanafunzi yule anasoma Kiswahili.

47. Mwizi huyu ni mwongo sana! Ameiba dukani!

48. Ng'ombe hawa wanono ni wako?

49. Ng'ombe mnono wa Ali anakula porini.

50. Nge ni mdudu mbaya, anauma/ng’ata na ana hatari!

51. Nina mbwa mkali nyumbani.

52. Nina ng'ombe wanono wazuri.

53. Ninyi ni wazee wa kijijini?

54. Nyanya yangu anaimba chumbani.

55. Nyigu yule mkali wa porini atauma/ng’ata mtu.

56. Nyuki huyu anauma/ng’ata.

57. Nyuki ni wadudu wakubwa?

58. Nyuki wakali wapo mtini?

59. Nzi huyu ni mkubwa.

60. Padre wetu ana ngo‘mbe mmoja mnono.

61. Padre yule mzuri atahubiri kanisani.

62. Rais na mawaziri wenu ni viongozi wazuri?

63. Sisi ni wanafunzi wabaya wa Kiswahili?

64. Umeona vifaru na viboko mtoni?

65. Una mtoto mmoja?

66. Una paka mdogo chumbani?

67. Unafanya kazi mjini?

68. Unapenda watoto wadogo?

69. Viboko na vifaru ni wanyama wadogo?

70. Viboko wakubwa wamo mtoni?

71. Vifaru wamo mtoni.

72. Vijana hawa wataimba barazani?

73. Vipepeo ni wabaya?

74. Vipepeo wale wazuri wametua wapi?

75. Wadudu wa Afrika wanauma/ng’ata?

76. Wadudu hawa wakali wanawatafuta wanyama wale.

77. Wadudu wale ni nyuki au manyigu?

78. Wadudu wenu ni wakali na wanauma?

79. Wageni wenu watakuja nyumbani?

80. Wageni wetu wamefika.

81. Wajerumani ni warefu na Wachina ni wafupi.

82. Wajukuu wa mzee huyu wamo chumbani?

83. Wake wa waume hawa wako wapi?

84. Wakulima wale wanatoka vijijini.

85. Wakwe zake si wazuri.

86. Walimu wetu ni Watanzania.

87. Walinzi wetu wakali wamesimama mlangoni.

88. Wana vijana wawili na msichana mmoja.

89. Wanyama wale ni wakali?

90. Wao ni watu wema au watu wabaya?

91. Wasichana hawa si Wafaransa, ni Waingereza.

92. Wasichana wawili wazuri wapo mlangoni.

93. Watoto wako wanacheza wapi?

94. Watoto wenu wako mjini au kijijini?

95. Wazazi wa watoto hawa wanafanya kazi mjini.

96. Wazee wa kijiji hiki wamo chumbani?

97. Wazee wake wamekufia wapi?

98. Wazee wale wanauza nini barazani?

99. Wazungu hawa ni Wagiriki, wanatoka Athens.

100. Wewe ni mgeni mjini?

101. Wewe ni mkristo?

102. Yeye anafanya kazi wapi?

103. Yeye ni dada yako au mama yako?

 

1) 3.2 M/Mi Class 구문연습

2)

1. Je, migomba inazaa nini?

2. Mchezo wa mpira umekwisha.

3. Mchicha huu ni mzuri?

4. Mchungwa ule una mzizi mrefu.

5. Mfereji wa Suez ni mrefu?

6. Mfuko wa mzee wako upo mezani?

7. Mguu wa mlevi yule umevunjika.

8. Miembe ni miti mikubwa?

9. Mifuko hii ni ya wasichana wale?

10. Mifuko ya watu wale iko wapi?

11. Mihogo hii ni michungu?

12. Mihogo ile ni midogo?

13. Miiba hii ni mifupi?

14. Miili ya watu wale ni mizuri?

15. Miji ya Hamburg na London ina watu wachache?

16. Mikate ya Wajerumani ni mizuri?

17. Mikufu/mifuko ya mke wako imo sandukuni?

18. Mimi nina mkufu mrefu, mzuri shingoni?

19. Minazi inaota Ulaya?

20. Mipapai ya mkulima yule imeanguka?

21. Mishale yangu imo chumbani?

22. Misitu mikubwa iko Arabia?

23. Misitu ya Ulaya inatoweka?

24. Misumari hii michache inatosha.

25. Mitende ya wakulima wa Iraq ni mibaya?

26. Miti midogo ile inastawi sana.

27. Mitihani yao ni migumu?

28. Miwa ni mitamu?

29. Miwa ya Kuba ni michungu?

30. Mji wa Tokyo ni mkubwa au mdogo?

31. Mkasi wako ni mkali?

32. Mkate wangu upo mezani?

33. Mkebe wa mama umo chumbani?

34. Mlango ule wa Unguja ni mzuri.

35. Mlima Kilimanjaro uko wapi?

36. Mnazi wangu umeanguka.

37. Moshi wa moto ule ni mdogo?

38. Msalaba wenu mdogo uko wapi?

39. Mshahara huu ni mkubwa.

40. Mswaki wangu uko wapi?

41. Mto huu mkubwa una mikondo mikubwa?

42. Mtofaa wa mzungu huyu ni mzuri.

43. Mtumishi huyu anasaidia sana.

44. Muwa huu ni mrefu na mtamu.

45. Mwili huu ni mnene.

46. Ninapenda mkate huu mtamu.

47. Tumepanda michungwa, michenza, miembe, mipapai, mipera na mikomamanga.

48. Una mkasi mkali?

49. Usije na mikono mitupu.

50. Wageni wale wanapanda mlima ule mkubwa.

51. Waingereza wanapenda mchezo wa mpira wa miguu?

52. Wanakamata mwizi yule mbaya.

53. Watu hawa wazuri wanafaa sana.

1) 3.3 Ki/Vi Class 구문연습

2)

1. Bibi, kioo kimevunjika.

2. Chakula hiki kizuri kinatosha sana.

3. Chandarua kile kikubwa kinafaa kufunika vitu hivi.

4. Cheti kimepotea.

5. Choo kiko wapi? Kipo pale.

6. Funika chakula hiki.

7. Kibarua huyu anaomba cheti.

8. Kibatari cha dada yako kimo chumbani?

9. Kiberiti cha msichana huyu kiko wapi?

10. Kichuguu kile kina nyoka?

11. Kikapu kiko jikoni.

12. Kiko cha mzee huyu kipo mezani?

13. Kiko kiko wapi?

14. Kilatini ni kigumu?

15. Kimbunga kikubwa ni kizuri?

16. Kisu hiki kikali kinafaa sana kukatia mkate.

17. Kisu kimepotea.

18. Kitabu kimepasuka.

19. Kitambaa hiki kipya kilikuwa kichafu sana.

20. Kitanda cha mgeni kina viroboto?

21. Kitanda cha mtoto kimevunjika?

22. Kitenge kile ni cha Amina?

23. Kiti chako kiko wapi?

24. Kitu kipo pale kitini.

25. Mito ya Ulaya ina viboko na vyura?

26. Mpishi anaomba cheti.

27. Mtoto yule anapenda kutazama kioo.

28. Nilipata kitambaa kipya mjini leo.

29. Ninasoma kitabu kizuri kabisa.

30. Safisha vitu vile vichafu.

31. Tulipanda kilima kile kidogo.

32. Tunajifunza Kiswahili.

33. Umenunua wapi viatu hivi?

34. Usisahau kumeza vidonge vile.

35. Vibarua wale wazuri walifaulu kuinua chuma hiki kizito.

36. Vichochoro vya mji wa Mombasa ni vifupi?

37. Vifaru ni wanyama wadogo?

38. Vijiji vyenu ni vidogo au vikubwa?

39. Vikombe vya watoto vipo mezani?

40. Vinyozi wa mji huu ni wabaya?

41. Vipepeo ni wadudu wabaya?

42. Viroboto ni wadudu wazuri?

43. Vyoo vya kijiji chao ni vikubwa?

44. Wenyeji wale wanazoea kilimo hiki.

45. Wewe ni mwalimu wa chuo kikuu?

1) 3.4 (Ji)/Ma Class 구문연습

1. Baba yangu ana shamba dogo la mananasi, mihindi na mihogo.

2. Boma lenyewe litafungwa saa nane mchana.

3. Duka lenye vitu vingi.

4. Jina lako ni nani?

5. Jina lako ni refu?

6. Jua lile kali limekausha majani haya katika shamba lao.

7. Juma hili utafanya nini?

8. Jumbe wenu ni mtu mbaya?

9. Kaka yangu ana shamba kubwa la minazi na mikomamanga kijijini.

10. Kanisa lile lina watu wengi?

11. Machungwa haya ni matamu?

12. Machungwa, mapera na maembe ni matunda mabaya?

13. Madafu yana maji mengi?

14. Maharagwe ni chakula kibaya?

15. Mahindi haya mazuri yametoka shamba lile bondeni.

16. Mahindi yanaota wapi?

17. Majembe ya wakulima hawa yapo mlangoni?

18. Majembe yanapatikana katika duka lile kubwa.

19. Maji ya madafu ni mazuri sana.

20. Maji ya mji huu ni mazuri?

21. Mama yangu amekwenda mtoni kuleta debe la maji ya kunywa.

22. Mambo yote yamekwisha.

23. Maparachichi haya umenunua wapi?

24. Masanduku yale yana nini?

25. Matajiri walinunua matunda machache?

26. Matunda mazuri yako wapi?

27. Matunda ni chakula kizuri sana.

28. Mawazo na matendo ya wazee wale ni mabaya?

29. Mayai yale kikapuni ni mabaya?

30. Mazulia yenyewe ni mazuri kabisa.

31. Meno yako si meupe kwa sababu maji haya si mazuri.

32. Michungwa yetu inazaa machungwa matamu sana.

33. Minazi yake inazaa madafu makubwa.

34. Mna nini sufuriani?

35. Ng'ombe huyu ametoa madebe saba ya maziwa mazuri wiki hii.

36. Nifungulie dirisha lile.

37. Ninahitaji gari la kuchukulia masanduku haya makubwa.

38. Ninahitaji tarishi kunipelekea jibu hili dukani.

39. Nipe jina lolote.

40. Pori lote limejaa wanyama.

41. Rafiki yako ana makosa mengi?

42. Rais amesema kwamba atalisaidia taifa hili.

43. Seremala wale ni wazuri?

44. Sipendi machungwa yenye mbegu nyingi.

45. Soko la mji wenu ni chafu?

46. Toa zulia hili kubwa ili uweze kulisafisha vizuri.

47. Tulikuwa na mazungumzo mafupi barazani.

48. Umeliona jina lako katika gazeti hili? La, Sijaliona.

49. Unapenda kunywa maziwa?

50. Unapenda matunda gani?

51. Usilete matope yoyote nyumbani.

52. Wanawake wa mji huu wana macho mabaya?

53. Wewe ni karani?

 

1) 3.5 N Class 구문연습

1. Anavaa nguo zake za kazi.

2. Asali ipo mezani.

3. Baba yupo barazani.

4. Chupa hizi zimejaa pombe nyingi.

5. Dada na mama yangu wanapenda sana kunywa bilauri nyingi za mvinyo.

6. Dada yangu yumo chumbani.

7. Hazitatosha, nunua ratili moja nyingine. Barafu yake imejaa  chupa za bia.

8. Je, babu yenu ni mkulima au mvuvi?

9. Je, bahari yenu ina samaki wengi?

10. Je, barabara za nchi yenu zina hatari nyingi?

11. Je, hasira ni hasara?

12. Je, karafuu zinaota wapi?

13. Je, ndizi hizi ni tamu?

14. Je, ng’ombe wanazaa nini?

15. Je, polisi wa nchi hii wanapenda raia?

16. Je, rafiki yako hana hali, mali wala amali?

17. Je, saa ile mezani ni yako?

18. Je, simba, chui na duma ni wanyama wakali? Je, wanyama hawa wanakula nini?

19. Je, tembo, nyati, viboko na vifaru wana mili midogo?

20. Je, una nafasi kwenda kununua ratili mbili za mboga?

21. Je, wanawake wa nchi hii wanavaa nguo fupi?

22. Kaka yangu anakunywa vikombe viwili vya chai kila asubuhi.

23. Kazi yake ni nzuri.

24. Kuna hatari kuendesha motokaa vibaya.

25. Lete karatasi ya kuandikia cheti cha ruhusa.

26. Lete sukari nyingine kwa sababu hii imekwisha.

27. Mamba wa mto huu wana hatari.

28. Maskini yule ana fedha nyingi.

29. Mbu wa AfrikaMashariki wana malaria.

30. Mchwa wanaweza kuua watu, wanyama na wadudu?

31. Meza ile ndogo imevunjika.

32. Mgonjwa huyu ana homa kali sana kwa sababu hakupata dawa.

33. Mna samaki wengi mtoni.

34. Mtumishi alipiga dawa ya mbu katika nyumba nzima.

35. Mwewe yule amechukua vifaranga wa kuku wa nani?

36. Nchi ya Ujerumani iko Afrika?

37. Ndizi hizi ni nzuri sana.

38. Nenda kupata dawa nyekun여 ya viatu.

39. Nyama ya mbuzi imo sufuriani.

40. Nyuki wa nchi yenu wanatengeneza asali nzuri?

41. Rafiki yako yuko mjini?

42. Ratili mbili za nyama zitatosha?

43. Sabuni ya kuogea iko wapi?

44. Sipendi kunywa chai tamu, ninapenda chai bila sukari tu.

45. Swila wale wana sumu kali?

46. Tutakuwa na marafiki wengi jioni hii.

47. Twiga na ngamia wana mashingo mafupi.

48. Wana siagi nyingi.

49. Wiki hii tutakwenda katika safari ndefu sana.

 

1) 3.6 U Class 구문연습

1. Baba yako ana ndevu ndefu?

2. Funguo zangu ziko wapi?

3. Kucha za mke wake ni ndefu na nyekundu?

4. Kurasa nyingi za vitabu hivi.

5. Leo utaandika kurasa nyingi za kitabu chako?

6. Nyua kubwa za nyumba zenu zina miti mingi?

7. Nyua zile ni kubwa

8. Nyufa za kuta hizi zina hatari?

9. Nyumba yako ina kuta nyembamba?

10. Nyuso za wanawake wale zina furaha?

11. Ubao mmoja utatosha?

12. Ubao ule una misumari mifupi?

13. Ubaya wa mume ni uchafu.

14. Ubishi wa rafiki yangu

15. Uchache wa chakula

16. Udongo wa nchi yenu ni mzuri?

17. Ufagio wenu uko wapi?

18. Ufalme wa mfalme wenu umekwisha?

19. Ufupi wa wakati wangu

20. Ugali wenu umo chunguni?

21. Uganda iko wapi?

22. Ukali wa mapanga ya waarabu

23. Ukumbi ule una vitu vingi?

24. Ulevi mwingi ni mzuri?

25. Umande wa asubuhi.

26. Umaskini utaua watu wengi?

27. Umoja ni nguvu?

28. Umoja wa watu wa nchi yenu ni mbaya?

29. Umoja wa watu wetu.

30. Umri mrefu wa kobe

31. Umri wako ni mkubwa?

32. Unapenda usingizi mnono?

33. Unatumia wino mweusi au mwekundu?

34. Unene wa watu wa nchi hii ni mzuri?

35. Upinde wa mvua ni mbaya?

36. Upuuzi wa watu wale ni mzuri?

37. Urusi una watu wachache?

38. Usingizi mnono wa usiku.

39. Utakwenda Ugiriki mwaka huu?

40. Utambi wa taa ya chumba kile upo mezani?

41. Uwezo wa kaka yako ni mkubwa?

42. Uzee una faida au hasara?

43. Uzuri wa mji wetu.

44. Uzuri wa msichana yule una hatari?

45. Uzuri wa uso wa msichana huyu.

46. Wakati wa watu ni mrefu?

47. Wembe wako ni mdogo?

48. Werevu wa watu wale

49. Uwezo wa akili za watu ni mbaya?

1) 3.7 Ku Class와 Pa/Ku/Mu Class 구문연습

1. Alikwenda kukaa mahali pake pa kawaida.

2. Aliokota kisu changu mahali tusipotafuta.

3. Funguo zako zipo mezani pale.

4. Hakuna wageni wengi Ulaya?

5. Hamna mtu kibandani?

6. Hapa ni mahali alipoanguka.

7. Hapa ni pazuri, sitaki kwenda pengine.

8. Hapana kazi hapa.

9. Hapana nafasi hapa.

10. Hapana ruhusa kuvuta sigara hapa.

11. Hawakupapenda pale, kwa hiyo watu walikwenda pengine.

12. Humu mtumbwini mna samaki?

13. Kucheka sana kuna hatari?

14. Kucheza kwa watoto wadogo barabarani ni kubaya?

15. Kuimba kunaburudisha?

16. Kujivuna si kuzuri?

17. Kujua mambo mengi ni kubaya?

18. Kukata miti ni kubaya?

19. Kukumbuka ni kubaya?

20. Kuleta ni kuchukua?

21. Kulia ni kuzuri au kubaya?

22. Kuna mboga gani sokoni?

23. Kuna mboga sokoni?

24. Kuna wezi wengi kijijini mwenu?

25. Kunywa sana pombe kuna faida?

26. Kuona ni kuamini?

27. Kupigana ni kuzuri?

28. Kusahau vitu ni kuzuri?

29. Kusamehe watu ni kuzuri?

30. Kuua watu ni kubaya?

31. Kuvuta sigara nyingi kuna hatari?

32. Kuwa au kutokuwa, hilo ndilo swali.

33. Kwenda ni kuja?

34. Lazima kutogusa kitu hiki.

35. Mahali hapa hapafai kwa sababu ni padogo.

36. Mahali hapa hapana chakula?

37. Mahali hapa hapana miti na maua?

38. Mahali hapa hapana watu?

39. Mahali hapa pana watu wachache?

40. Mahali padogo pazuri patatosha?

41. Mahali pake pamechafuka?

42. Mahali pake pana miti mingi.

43. Mahali pako pana miti na maua?

44. Mahali pale pana hatari?

45. Mahali pao pazuri pako wapi?

46. Mahali penyewe palikuwa padogo lakini hapakuwa na uchafu.

47. Mgonjwa amelala wodini mwa naniwapi?

48. Mjini kuna nini?

49. Mna maji humu kisimani?

50. Mna nani chumbani mwako?

51. Mna nini kikapuni?

52. Mna nini shimoni?

53. Mtakwenda mahali gani leo?

54. Nani wamelala kibandani?

55. Nenda pale penye motokaa ile.

56. Ngojeni wote mahali pamoja, siyo katika mahali pengi.

57. Ni bora kutokwenda leo.

58. Ninapapenda sana ninapokaa.

59. Ninapokwenda Moshi, pengine ninakwenda mahali pake.

60. Pale darajani pana nini?

61. Pale patakuwa na miti michache.

62. Pana mtu mlangoni pa Asha?

63. Pana nani kivulini?

64. Pana sehemu kubwa hapa penye Wazungu.

65. Pana wanyama wengi pale peusi.

66. Pengine ataniletea maua atakapokuja hapa.

67. Pote nilipokwenda, niliona wanyama.

68. Tunataka kutoangusha mti huu.

69. Unakwenda mjini kwa nani?

70. Unapenda kunywa kahawa asubuhi?

71. Unapenda mahali pangu?

72. Unatoka kwa nani?

73. Usisimame popote njiani.

74. Utatafuta mahali pengine?

75. Wanaishi mahai pazuri kisiwani?

76. Watafanya kazi mahali hapa?

77. Watoto pale pana mbu wengi?

78. Wazungu wanapenda mahali penye baridi?

79. Wezi wanapenda kuiba vitu madukani?