언어/스와힐리어 연구

제2부. 스와힐리어 구문연습(Kiswahili Excercise) - 13장. Somo la Kumi na Tatu

africa club 2015. 3. 15. 21:30

26.

27.

제 13 장

① Somo la Kumi na Tatu

 

가. 1. 회화

1) 1.1 경찰(Polisi)

 

A : Kituo cha polisi kiko wapi? : 경찰서가 어디에 있습니까?

B : Kipo karibu na posta. : 우체국 옆에 있습니다.

A : Wewe amekosa barabarani. : 당신은 길에서 법을 위반했습니다.

B : Lazima nilipe faini. : 나에게 벌금 영수증을 주세요.

A : Tafadhali nionyeshe kitambulisho chako! : 당신의 증명서를 보여주세요!

B : Sina kitambulisho, lakini nataka kukuoneshe laiseni. : 신분증명서가 없습니다만 운전면허증을 보여드리겠습니다.

 

<관련어휘>

askari polisi : 경찰관.

cheti cha kipita : 통행증명서.

gereza(ma-) : 1. 요새, 성채. 2. 형무소. cf.) -tia / -weka / -funga gerezani : 형무소에 수감하다.

jela(-) : 1. 감옥, 구치소. 2. 교도관.

kitambulisho(-) : 신분증명서.

kituo cha polisi : 경찰서.

kizuizi / kizuizo(vi-) : 제지, 금지, 억제.

kutia ndani / kuweka ndani / kuweka kizuizini : 구류(拘留)

leseni ya kuendesha motokaa. : 운전면허증.

leseni(-) / kibali(vi-) : 면허, 허가.

mahabusu / mahabusi(-) : 1. 죄수. 2. 감옥, 교도소. cf.) Amefungwa mahabusi. : 그는 징역형에 처해졌다.

muhuri / mhuri(mi-) : 봉인, 우표, 도장. cf.) -tia muhuri : 봉인하다, 우표를 붙이다, 도장을 찍다. muhuri wa serikali : 공식도장.

mzima moto : 소방수. cf.) zima : v. 억누르다, (불을) 끄다. -zima kiu : 갈증을 억누르다. -zima njaa : 배고픔을 억누르다. -zima moto wa mlima : 산불을 끄다.

polisi wa barabarani : 교통경찰.

raia(ma-) : 국민, 시민, 백성.

rumande(-) : 1. 구금, 감금. 2. 구치소.

taarifa(-) : 보고, 설명, 리포트.

uraia : sing. 시민권.

zuia : v. 1. 방해하다, 연기시키다, 보류하다. 2. 버티다, 지탱하다.

zuio / zuizi / zuizo(ma-) : 방해, 훼방, 장애, 억류, 지체.

2) 1.2 사법(Mambo ya Kisheria)

3)

A : Kwa nini walimkamata? : 왜 그들은 그를 수감했나요?

B : Alivunja sheria ya serikali. : 그는 정부 법을 어겼거든요.

A : Aliffikishwa mahakamani kwa mashtaka ya kumwua mtu. : 그는 살인으로 기소되어 법원에 소환되었습니다.

B : Kesi ya mshtakiwa itasikilizwa lini? : 언제 피고인에 대한 소송이 열리나요?

A : Mshtakiwa aliaambiwa akae nje? : 피고인에게 무죄판결이 내려졌습니까?

B : Alihukumiwa kifungo cha miezi mitatu. : 그는 3개월 형을 받았습니다.

 

<관련어휘>

adhabu ya kifo : 사형. cf.) kifo(vi-) : 죽음.

adhabu ya kutiwa ndani : 자유형(징역, 구금, 금고형 등). cf.) -tiwa ndani : 구류를 살다.

adhabu ya kutozwa fedha faini : 벌금(罰金).

adhabu(-) : 형벌, 고통, 박해. cf.) -tia adhabu : 징벌하다.

baraza la usuluhifu : 갈등 조정위원회.

faini(-) : 벌금. cf.) -toa faini : 벌금을 부과하다. -lipa faini : 벌금을 지불하다.

haki / hakki(-) : 1. 정의, 권리, 진실. 2. 권리, 특권.

hakiki : v. 확인하다, 증명하다, 조사하다, 규명하다.

hakimu(ma-) / jali(ma-) / kadhi(ma-) : 재판관, 판사. cf.) hukumu : 1. v. 선고하다. 2. (-) : 판결, 결정.

hatia(-) : 과실, 실수, 위반.

hukumu / hokumu : v. 판결을 내리다, 선고하다.

kesi(-) : 소송. cf.) kesi ya jinai : 형사사건, 소송.

korti kuu / Mahakama Kuu : 최고 재판소.

korti(-) / mahakma(-) / mahakama(-) : 법정.

kosa(ma-) : 범행.

mahakama ya kijeshi : 군사법정.

maktabu(-) : 군사법정. cf.) -fanya maktabu : 군사법정을 열다.  

mhalifu(wa-) : 범죄자.

mshtaki / mstaki / mshitaki(wa-) : 원고, 밀고자.

mshtakiwa / mshitakiwa(wa-) : 피고.

mshtiri / mshitiri / mstiri(wa-) : (경매에서) 구매자, 소송의뢰인.

mtetezi / mtetea / mteteaji / mtetaji(wa-) : n. 변호사, 따지기 / 싸우기 좋아하는 사람, 적, 대항자, 정치가.

mwamua / mwamuzi(wa-) : 중재자, 분쟁 조정자, 심판자. cf.) amua : v. 결론에 이르다, 중재하다.

shahada(-) : 의무, 유대, 계약서, 날인증서.

shahidi(ma-) : 증인, 보증인.

shtaki : v. 고발하다, 고소하다, ~를 고발하다.

uhalifu(ma-) : n. 범죄, 일탈, 죄. cf.) halifu : 1. v. 불복종하다, 위반하다. 2. (ma-) : 폭동자, 반역자. 3. adj. 반항하는, 반역의.

ushahidi / ushuhuda : sing. 1. 증거, 확인. 2. 순교.

usuluhifu / usuluhi : sing. 동의, 협정, 화해, 중재, 조정.

utetezi : sing. 변호(辯護), 주장, 논쟁, 변론(=matetezi). cf.) teta : v. 강하게 주장하다, 의문시하다, 싸우다, 논쟁하다.

wakili(ma-) : 1. n. 위임자, 대행자, 법적 대리자, 변호사. 2. v. 대행하다. cf.) Aliniwakilisha kazi ile. 그녀는 나에게 그 일을 위임했다.

walili wa mshtaki : 검사(劍士)

4) 1.3 교육기관(Shule, Vyuo Vikuu)

 

A : Wasoma idara gani? / Una somea nini? : 당신은 무슨 과(科)에서 공부하고 있습니까?

B : Mimi ni mwanafunzi wa idara ya uchumi. : 나는 경제학과 학생입니다.

A : Una matata katika nyumba yako? : 당신 집에 무슨 문제가 있습니까?

B : Jana kundi la wawizi waliiba vitu vyote kutoka nyumba yangu. : 어제 강도떼가 우리 집에 있는 모든 것을 훔쳐갔습니다.

cf.) kundi(ma-) : 1. (사람, 동물, 곤충의) 떼, 군중, 모임. (연예인등의) 모임, 악단, 일단. 3. 정당(政黨). cf.) kundi la wawizi : 도둑떼.

A : Jana ulifanya nini pamoja na rafiki yako? : 어제 당신은 당신의 친구와 무엇을 했습니까?

B : Jana tuliona kundi la wanyama. : 어제 우리는 동물 떼를 보았습니다.

A : Ulishughulika lini? / Umeajiriwa lini? : 당신은 언제 일했습니까? / 당신은 언제 채용되었습니까?

cf.) shughuli(-) : 1. 일, 사업, 직업. 2. 문제, 걱정거리, 불안감. shughulika : v. 바쁘다, 업무 중에 있다. 2. 불안해하다, 흥분되어 있다.  shughulish : v. 1. ~에게 일거리를 주다, 2. 부담을 주다. 3. 흥분시키다. ajiri : v. 고용하다, 채용하다, 임대하다. cf.) ajirishaa : v. 돈을 지불하고 어떤 사람을 고용하다. 2. 빌리다.

B : Kabla ya miaka michache. : 몇 년 전에요.

A : Kwa nini watu wa Masaai waliingia katikati ya mji mwaka jana? : 왜 마사이족은 작년에 도시에 들어왔지요?

B : Kabila ya Maasai waliingia katikati ya mji wa Narobi ili kujipatia maji pamoja ni kundi la ng’ombe. : 마사이족은 소떼에게 물을 주려고 나이로비 시내에 들어왔어요.

A : Unafanya mitihani wa mwisho / kati lini? : 당신은 언제 중간고사 / 기말고사를 치룹니까?

B : Mwezi wa Agusti. : 8월입니다.

A : Unapenda masomo gani shuleni? : 당신은 학교에서 어떤 공부를 좋아합니까?

B : Napenda hesabu, Kiingereza, na historia. : 나는 수학, 영어, 역사를 좋아합니다.

A : Watumaini kuendelea katika masomo? : 공부를 계속하고 싶습니까?

B : Mungu akinijalia nitaendelea katika masomo mpaka chuo cha juu. : 신이 허락한다면(여건이 된다면) 계속 공부를 하고 싶습니다.

A : Mwishowe utafanya kazi gani? : 나중에 어떤 일을 하고 싶습니까?

cf.) mwisho(mi-) : 끝, 결말, 2. 종결, 완결, 목표. 3. 결과, 성과, 소산. 4. 파괴, 죽음. 5. adv. 마침내, 결국, 결론적으로(=mwishoni / mwishowe)

B : Nitafanya kazi ya siasa. : 나는 정치를 하고 싶습니다.

A : Chuo kikuu cha Taifa ya Seoull kiko wapi? : 서울대학교는 어디에 있습니까?

B : Katika Seoul. : 서울에 있습니다.

A : Ada za shule ni pesa ngapi? : 수업료는 얼마입니까?

B : Ni kama dola 500(mia tano) hivi kwa kipindi / mwaka / mwezi. : 학기당 / 1년에 / 1개월에 약 500 US$입니다.

A : Nasikitika, nimechelewa : 죄송합니다. 늦었습니다.

B : Si neno. / Si kitu. : 괜찮아요.

A : Sasa karne gani? : 지금 몇 세기입니까?

B : Ni karne ya Ishrini na moja. : 지금은 21세기입니다.

A : Je, watoto wote husoma shule huko Tanzania? : 탄자니아의 모든 아이들이 학교에서 공부합니까?

B : Watoto wote husoma shule ya msingi kabla ya kuwenda shule ya upili. Baada ya kusoma shule ya msingi, watoto wote huenda shule ya upili. : 중등학교에 들어가 전에 초등학교에서 모든 아이들이 공부합니다. 초등학교를 졸업한 후에 모든 아이들이 2번째 단계의 학교에 진학합니다.

A : Umri gani watoto wote huanza kusoma? : 모든 아이들은 몇 살에 공부를 시작합니까?

B : Kwa kawaida watoto waanza kutoka miaka sita. : 일반적으로 아이들은 6세부터 공부를 시작합니다.

A : Nchi yako ina masomo shuleni kwa bure? / Kwenu masomo shuleni ni bure? : 당신 나라에서는 학교 수업료가 무료입니까?

B : Hapana lazima walipe ada za shule. : 아니요, 수업료를 내야 합니다.

A : Waweza kunieleza kidogo / kwa ufupi juu ya mfumo wa elimu katika Korea? : 한국의 교육제도에 대해 간략하게 설명해주시겠습니까?

cf.) mfumo(wa-) : 1. 수장(首長), 장(長). 2. (mi-) : 조직, 구조, 엮기, 땋기, 짜기

B : Vema nitakueleza. Mfumo wa elimu ni sita, sita na nne. Yaani watoto husoma katika shule ya msingi kwa miaka sita. Halafu watoto hukwenda kwa shule ya sekonari baada ya kumaliza masomo. Hivyo wanafunzi wanaweza kuingia chuo kikuu baada ya kumaliza madarasa kumi na mwili. : 좋습니다. 당신에게 설명해 드리지요. 교육제도는 6,6,4 제도입니다. 다시 말해 초등학교는 6년간 교육받습니다. 그리고 나서 아이들은 중등학교에 갑니다. 12년의 교육을 받은 학생들은 대학에 들어갈 수 있습니다.

A : Basi, waweza kunieleza juu ya mfumo wa elimu katika Kenya? : 그런데, 케냐의 교육제도에 대해 설명해주시겠습니까?

B : Watoto husoma katika shule ya msingi kwa miaka saba. Pale baada ya miaka minne hupata cheti cha kidato cha nne, na baada ya miaka miwili mingine hupata cheti cha kidato cha sita. Hivyo wanafunzi wanaweza kuingia Chuo kikuu baada ya kumaliza madarasa kumi na matatu. : 7년동안 초등학교에서 교육을 받습니다. 그곳에서 4년 후에 4학년 증명서를 받은 후 또 2년을 보낸 후 6학년 증명서를 받습니다. 모두 13년의 교육을 받으면 대학교에 들어갈 수 있습니다.

A : Chuo kikuu cha Dar es Salaam kilianzishwa lini? ; 다르 에스 사람 대학은 언제 시작되었습니까?

B : 1972(Elfu moja mia tisa sabini na wili.) : 1972년입니다.

A : Chuo kikuu chenu kina vitivo gani? : 우리 대학교에는 어떤 학과가 있습니까?

cf.) kitivo(vi-) : 1. 비옥한 토양. 2. 학부, 학과

B : Kitivo cha kilimo / Sayansi / Tiba / Sayansi za jamaa, jamii / Chuo kikuu cha uhandisi / Sayansi ya uhandisi / Chuo cha uhandisi. : 농학부 / 자연과학부 / 의학부 / 사회과학부 / 공과대학 / 기계공학 / 공대가 있습니다.

A : Unasomea nini? : 당신은 무엇을 공부합니까?

B : Ninasomea sheria. : 나는 법학을 공부하고 있습니다.

A : Masomo yako yatachukua miaka ngapi? : 당신의 공부는 몇 년 걸립니까?

B : Miaka minne. : 4년입니다.

A : Kwenu mwaka wa masomo / likizo yako) huanza lini? : 학기 / 방학은 언제 시작합니까?

B : Kwa kawaida kutoka March. : 보통 3월에 시작합니다.

A : Mnapata likizo lini? : 당신들은 방학이 언제입니까?

B : Kutoka mwezi wa saba hadi mwezi wa nane. : 7월부터 8월까지입니다.

A : Kuwenu kuna vilevile kisomo cha watu wazima? : 당신이 다니는 대학교에서는 성인 교육기관이 있습니까?

cf.) kisomo(vi-) : 가르침, 훈련, 교육.

B : Kuna Chuo kikuu cha serikali. : 국립대학에 있습니다.

A : Amefuzu mtihani? / Amepita mithiani? : 그는 시험에 합격하였습니까?

B : Ameanguka. : 그는 떨어졌습니다.

<관련어휘>

ada za shule : 수업료.

akiolojia(-) / elim kale : 고고학.

anthropolojia ya mila na desturi : 문화인류학.

bukua : v. (부정, 비밀을) 폭로하다, 파헤치다. cf.) ubikuzi : 고고학.

bweni(ma-) : 기숙사.

chuo cha walimu : 사범학교.

Chuo Kikuu cha Uhandisi / chuo cha uhandisi : 공과대학(工科大學).

daktari(ma-) : 박사.

diploma / shahada / digrii(-) : 학위.

elimu ya wazima : 성인교육.

elimumimea(-) : 식물학.

elimuviumbe(-) / biolojia(-) : 생물학.

etholojia(-) : 민족학.

fasaha / fasihi : adj. (말, 문장이) 정확한, 순수한.

fasihi simulizi : 구비문학(口碑文學).

fasihi(-) : 문학.

hisabati(-) / hesabu(-) : 수학.

historia(-) : 역사학.

idara(-) : 학과(學科), 정부의 부(部), 국(局).

jumba la maonyesho / thieta(-) / ukumbi(kumbi) : 강당(講堂). cf.) ukumbi wa maonyesho : 콘서트 홀.

karatasi ya maswali : 설문지.

kemia(-) : 화학.

kifaa(vi-) : n. 유용한 것. 기구, 도구, 장비. cf.) vifaa vya kufundisha : 교육용구. vifaa vya chuoni / kuandika : 학용품 / 필기도구. vifaa vya nyumbani : 집의 설비도구.

kilima(vi-) : 농학.

kipindi(vi-) : 1. 시간, 프로그램. 2. 기간, 순간. 3. 프로그램. 4. adv. 현재의, 당분간의. cf.) kipindi cha asubuhi : 아침에. kipindi cha masomo : 학습시간. kwa vipindi : 때때로, 주기적으로. Ada za shule ni pesa ngapi? Ni kama dola 230 hivi kwa kipindi / kwa mwaka. : 수업료가 얼마예요? 학기당 / 매년 20불 정도 합니다.

kitivo cha sheria : 법학부.

kitivo(vi-) : 학부, 교수단.

kozi(-) : 강좌, 코스. cf.) kozi ya jioni : 야간강좌. kozi ya msingi ys Kiingereza : 영어 초급반. kozi ya wanafunzi wanaoanza : 초보자반.

masomo ya juu : 상급반.

maswali ya mfululizo / mfulizo : 질문서, 설문지.

maswali yenye majibu ya kuchagua : 선다형 문제.

matokeo ya mtihani : 시험결과.

mchunguzi(wa-) : 연구원.

mfulizo wa masomo : 수업과정, 수업순서.

mhadhara(mi-) : 강의, 강좌.

mhadhara / muhadhara(mi-) : 강의(講義)

mhadhiri mwandamizi : 전임강사.

mkurufunzi / mkufunzi(wa-) : 학부 학생.

mkuu wa kitiivo : 학장.

msaidizi / msaidia(wa-) : n. 1. 보조자, 조주, 도와주는 사람. 2. (학과의) 조교. cf.) msaidizi wa hospitali : 간호보조원.

mtaala(mi-) : 교과과정, 배움, 공부, 연구.

mtaalamu(wa-) : 학자.

mtihani mdogo : 중간고사.

mtihani mkubwa : 기말고사.

mtihani wa mwisho : 기말시험, 졸업시험.

mtihani(mi-) : 시험, 테스트. cf.) -fanya mtihani : 시험을 치다.

muhadhiri / mhadhiri(wa-) : 강사.

muhtasari ya mafunzo / muhtasari ya mafundisho : 교육안, 학습계획, 강의계획서, 프로그램.

muhtasari / mutasari(-) : 윤곽, 개략, 발췌, 적요, 목차, 개요.

muhula(mi-) : 학기.

mwalimu wa Chuo Kikuu : 교수.

mwanafunzi wa shahada ya juu : 대학원생.

nadharia(-) : 이론.

profesa(ma-) : 교수(敎授).

ratiba ya masomo : 수업 시간표.

sarufi(-) : 문법.

sayansi ya uhandisi : 기계공학.

shahada(-) : 의무, 인연, 결속, 맹세, 계약서.

shuhuda(ma-) : 1. 증거, 논증, 검증. 2. 시민권. 3. 증인 증명서 학위.

shuhudu : v. 증명하다, 확인하다, 맹세하다, 증언하다.

shule ya bweni : 기숙학부.

shule ya msingi / sekondari : 초등 / 중등학교.

simulizi(ma-) : n. 1. 보고, 뉴스. 2. 이야기, 전설, 신화. cf.) simulia / sumulia : v. 이야기 하다, 보고하다, 설명하다. msimulizi(wa-) : 이야기꾼, 아나운서.

skalaship(-) / skolashipu(-) / posho(-, ma-) / msaada wa masomo : 장학금. cf.) posho(-, ma-) : 하루치 식량, 배급량, 생계수단.

somo(ma-) : 과목, 과(課)

taalamu : v. 교육받다, 배우다.

taaluma / taalimu(-) : 교육, 학습, 공부. cf.) taaluma ya sayansi : 자연과학.

taasisi ya uchunguzi / nyumba ya sayansi : 연구소. cf.) Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili : 스와힐리어 연구소.

takwimu(-) : 통계학.

tasnifu(-) : 논문. cf.) tasnifu ya masomo baada ya shahada ya mwanzo : 석․박사 학위논문.

tiba / tibibia(-) : 약, 제약, 의학.

ualimu / uwalimu : 1. 교육학. 2. 가르침.

uchunguzi wa mila za jamii : 민족학

uchunguzi / utafiti / utafutai : 연구(硏究). cf.) chunguza : v. 신중히 조사하다. 연구하다.

ukumbi wa mikutano : 대학의 강당.

ukumbi(kumbi) : 현관, 문간방, 베란다, 복도.

uzamili : 대학원 과정.

zoezi(ma-) : 연습.

 

5) 1.4 우체국(Posta), 전화국(Ofisi ya simu)

 

A : Nataka kupeleka kitu hiki kwa ndege. : 이것을 항공우편으로 붙치고 싶습니다.

B : Mzee hakuna jina la mpokeaji.

A : Ninatafuta sanduku la barua. : 우체통 / 편지함을 찾고 있어요.

B : Jina lako nani? : 당신의 이름은 무엇입니까?

A : Nataka kumpa mpenzi wangu bunda ya maua. : 나는 애인에게 꽃다발을 보내고 싶어요.

B : Unataka maua gani? : 어떤 꽃을 원하세요?

A : Niende dirisha lipi? : 어느 창구로 가야합니까?

B : Ukwende dirisha la kwanza. : 첫 번째 창구로 가세요.

A : Unahitaji msaada? : 도움이 필요하세요?

B : Tafadhali nipe stempu mbili za shilingi mia moja na hamsini na stempu tano za shilingi ishirini. : 150실링자리 우표 2장과 20실링자리 우표 5장을 주세요.

A : Nataka kupeleka barua hii kewnda Korea ya kusini, pesa ngapi? : 이 편지를 한국에 부치고 싶은 데요 얼마죠?

B : Shilingi ni elf moja na mia tatu. : 1300실링입니다.

A : Barua hii ina uzito gani? : 이 편지는 무게가 얼마죠?

B : Jumla ni mia mwili. : 모두 200그람입니다.

A : Unataka kupeleka barua jinsi gani? Kwa uzito wa ndege / Kwa posta ya kawaida / Kwa Rejista / Kwa Haraka. : 어떤 방법으로 보내시겠습니까? 항공화물 / 보통우편 / 등기우편 / 속달로 보내시겠습니까?

B : Nataka kutumia barua hii kwa njia ya haraka. : 빠른우편으로 이 편지를 부치고 싶습니다.

A : Barua hii itafika Seoul lini? : 이 편지는 서울에 언제 도착할까요?

B : Itafika tarehe sita mwezi ujao. : 다음달 6일쯤에 도착할 것입니다.

A : Ni bei gani kila neno? : (전보를 칠 때)글자당 요금이 얼마죠?

B : Shilingi kumi kwa kila neno. : 글자당 10실링입니다.

A : Nataka kupiga simu kwenda Seoul. Kiasi / Bei gani simu ya Seoul? : 나는 서울에 전화하고 싶습니다. 얼마죠?

B : Nambari gani? : 번호가 어떻게 되죠?

A : 82-31-797-4651(nane wili tatu moja saba tisa saba nne sita tano moja)

A : Lazima ningoje muda gani mpaka nitakapopata simu? : 전화를 받을 때까지 얼마나 기다려야만 합니까?

B : Nitakuita baada ya kupatia simu. : 전화를 받은 다음에 당신을 부를게요.

A : Samehe! Simu ina kazi / Laini si huru. : 미안합니다! 통화중인데요.

B : Nitaita baadaye. / Nitapiga simu tena. : 나중에 다시 걸겠습니다.

A : Naweza kuzumgumza na Mwalimu Kim? : 김선생님과 통화하고 싶은데요?

B : Hallo! Hallo! haieleweki vizuri, tafadhali sema kwa sauti kubwa zaidi. : 여보세요! 여보세요! 잘 알아 들을 수가 없어요. 좀 더 큰 소리로 말씀해주세요.

A : Tafadhali shika simu. : 잠시만 기다려주세요!

28.    

29.    <관련어휘>

anwani(-) : 주소. cf.) Niachie anwani yako. : 나에게 당신의 주소를 남겨 주시겠습니까?

bahasha(-, ma-) : 1. 봉투. 2. 가방, 의복 꾸러미. cf.) bahasha ya nguo : 옷 다발, 옷 꾸러미.

barua ya haraka : 속달.

barua ya rejista : 등기 우편.

barua(-) / waraka(nyaraka) : 편지. cf.) waraka(nyaraka) : 문서, 서류, 증서.

furushi(ma-) / bunda(ma-) : 소포, 다발, 꾸러미.

gharama(-) : 소비, 지출. cf.) -fanya gharama : v. 지출하다, 소비하다. gharimu : v. 비용이 들다. gharimia : v. 돈을 쓰다, 부채를 갚다. Nimegharimia safari yake. : 나는 그의 여행경비를 지불했다. Imegharimu shilingi ya ishirini. : 20실링의 비용이 든다.

hawala(-) : 수표, 어음, 환어음, 우편환.

hundi ya posta : 우편환.

karatasi ya ndege : 항공우편 / 엽서 / 편지.

kifurushi(vi-) : 소형포장물.

kijibanda(vi-) / kibanda cha simu : 공중전화부스.

kitabu chenye namba za simu / kitabu cha orodha ya simu : 전화번호부. cf.) orodha(-) : 목록, 항목. orodha ya majina : 출석표.

mizani ya barua : 우체국에서 무게를 다는 저울.

mizani / minzani(-) : 천칭, 저울, 평형. cf.) mizani ya nguvu : 힘의 균형.

mpelekaji(wa-) : 발신인.

mpokeaji(wa-) : 수취인. cf.) pokea : v. 수령하다, 받다.

ofisi ya posta : 우체국.

opereta wa simu / mpokea simu / opereta(ma-) : 교환수.

postikadi(-) : 포스트카드, 엽서.

rejesta / rejista(-) : 등록된 편지.

sanduku la posta : 사서함(SLP).

simu ya upepo / telegrafu(-) : 전신(電信). cf.) -peleka simu ya upepo : 전보 / 전신을 보내다.

stempu / stampu maalum : 기념우표.

telegramu(-) / simu ya masndishi : 전보(電報).

unganisha : v. 접촉하다, 접속하다.

1) 1.5 범죄신고(Kuripoti uhalifu)

 

Asubuhi, Bob na Mkude wapo katika kituo cha polisi. Bob anaripoti wizi wa kamera yake uliotokea jana yake.

 

Mkude na Bob : Habari za kazi?

Polisi : Nzuri. Niwasaidie nini?

Mkude : Mimi ni Mkude, ni mwalimu katika shule ya sekondari Ilboru. Na huyu ni Bob, yeye ni voluntia kutoka Marekani anafundisha katika shule ya sekondari Ilboru pia. Amekuja hapa kuripoti wizi wa kamera yake.

 

Polisi anachukua maelezo ya Bob.

 

Polisi : Unaitwa nani?

Bob : Ninaitwa Bob.

Polisi : Uraia wako?

Bob : Mimi ni Mmarekani.

Polisi : Kazi yako?

Bob : Mimi ni mwalimu.

Polisi : Nieleze ilikuwaje?

Bob : Nilikwenda Kijenge jana mchana kwa miguu. Nilipofika katika daraja la New Arusha Hotel mtu mmoja alininyang'anya kamera yangu na kukimbilia mtoni. Nilijaribu kupiga kelele mwizi! mwizi! lakini watu wawili tu walikuja kunisaidia.

Polisi : Je, ukimwona mtu ambaye alikunyang'anya kamera yako unaweza kumtambua?

Bob : Ndiyo, ninaweza kumtambua kabisa.

Polisi : Sisi tutafanya uchunguzi, wewe njoo tena baada ya siku nne.

Bob : Sawa. Asante na kwa heri.

Polisi : Kwa heri.

<원문출처 : Marshal, C. et. al., Sema Kiswahili : Furahia Tanzania, Version Two, A Kiswahili course for peace Corps Tanzania (Arusha, Peace Corps Tanzania, 1998), pp. 149-151.>

 

아침에, 밥과 음쿠데는 경찰서에 있다. 밥은 어제 도둑맞은 그의 카메라를 신고하고 있다.

 

음쿠데와 밥 : 안녕하세요?

경찰관 : 좋습니다. 무엇을 도와드릴까요?

음쿠데 : 나는 일보루(Ilboru) 중학교의 선생님인 음쿠드입니다. 그리고 이 사람은 미국에서 온 자원봉사자이자 역시 일보루 중학교에서 가르치고 있는 밥입니다. 그는 그의 도난당한 카메라를 신고하기 위해 왔습니다.

 

경찰은 밥의 설명을 듣고 있다.

 

경찰관 : 당신의 이름은 무엇이라고 불립니까?

밥 : 나는 밥이라고 불립니다.

경찰관 : 당신은 어느 나라 시민입니까?

밥 : 나는 미국사람입니다.

경찰관 : 당신의 직업은?

밥 : 나는 선생님입니다.

경찰관 : 무슨 일인지 설명해주시겠습니까?

밥 : 나는 어제 낮에 걸어서 키젱게(Kijenge)에 갔습니다. 내가 뉴 아루샤 호텔에 도착했을 때 어떤 사람이 나의 카메라를 빼앗아 강으로 뛰어갔습니다. 나는 강도야! 강도야! 소리를 질렀지만 오직 두 사람만이 도와주러 와주었다.

경찰관 : 그러면, 만약 당신이 당신의 카메라를 훔쳐간 사람을 본다면 알아볼 수 있습니까?

밥 : 예, 나는 완벽하게 알아볼 수 있습니다.

경찰관 : 우리가 수사를 해보겠습니다. 당신은 나흘 뒤에 다시 오십시오.

밥 : 알겠습니다. 감사합니다. 안녕히 계세요.

경찰관 : 안녕히 가십시오.

 

<관련어휘>

asubuhi : 1.(-) 아침. 2. adv. 아침에.

chukua : v. 1. (짐을) 운반하다, 데리고 가다 ; 가지고 가다, 제거하다 ; (용량, 무게 등을) 갖다, (시간이) 걸리다. 3. fig. 참다, 견디다 3. 지속하다.

chunga : v. 1. 흔들다, 채로 치다. 2. 간호하다, 돌보다, 방목하다.

chunguza : v. 신중히 조사하다.

daraja(ma-) : 1. 다리. 2. fig. 지위, 정도, 사회적 계급. 3. (농업의) 언덕. 4. pl. 계단, 층 ; 사다리.

eleza : v. caus. of elea. 알게 하다, 설명하다.

elezo(ma-) : (us.maelezo) 설명, 기술, 묘사, 주석, 비평, 지도.

fanya / fania : v. 하다, 만들다.

fika : 닿다, 도착하다.

habari(-) : 1.보고, 소식, 뉴스.  2.자료, 전통.

heri : 1.(-) 행복, 축복, 행운, 성공. 2.-a heri adj. 운이 좋은 3. adv. ~보다 나은, 오히려.

ita : v. 부르다, 호출하다, 소환하다 ; 명명하다, 언급하다 ; 부탁하다, 방문하다, 초대하다 . pass. itwa 불리다.

jambazi(ma-) : 1. 방랑자, 거지. 2. 사기꾼, 악당, 악한. 교활한 사람.

jana : 1.(-) 과거, 이전. 2. adv. 어제.

jaribu / jeribu v. 1. 시험하다, 시도하다, 해보다 ; 시식하다.

kabisa : adv. 1. 완전히, 전체적으로, 모두, 2. 아주, 대단히, 극히. 3. 완벽하게, 정확히.

kamera(-) : 카메라.

kazi(-) : 1.일, 고용, 노동. 2.사업. 3.일, 예술. 4. 의무. 5.전문성.

kelele(ma-) : 소음, 시끄러운 음, 소란, 소동.

kimbia : v. 달리다, 도망치다, 탈출하다. appl. kimbilia ~에게 달려가다.

kituo(vi-) : 1.정지, 사이, 휴식 2.차나 버스, 비행기 등이 서는 곳, 정류소. 3.정착, 설립,주둔지. cf.) kituo cha gari : 기차역. kituo cha basi : 버스정류장.

mto(mi-) : 강, 냇물, 시내.

mwalimu(wa-) : 1.교육받은 사람, 학자, 과학자. 2.스승, 교사, 선생.

mwizi / mwivi(wevi) : 도둑, 강도, 소매치기.

nyang'anya : v. 빼앗아 가다, 강탈하다, 약탈하다.

ona : v. 1. 보다, 느끼다. 2. 느끼다,. 감각하다. 3. 생각하다, 믿다.

piga : v. 치다, 때리다.

polisi : 1.(ma-) (askari polisi) 경찰, 순경. 2.(-)전투경찰.

ripoti : 1.(-)보고서, 정보. 2. v. 보고하다, 통지하다. 3. rare. 편지.

S.L.P.(Sanduku La Posta) : 우체통.

saidia : v.  돕다, 원조하다, 거들다, 후원하다.

tambua : v. 인식하다, 알아보다, 알아내다, 인지하다. 2. 기억하다. 3.이해하다.

tokea : v. (toa의 파생동사) intr. -appl.  1.~에 나타나다. ~에 있게되다, 무슨 일이 벌어지다. 2. 어떤 일로부터 구제되다. 3. ~에 기인하다 ~결과를 가져오다.

uchunguzi : sing. 1. 호기심, 알고 싶어 함. 2. 검사.

uhalifu(ma-) : 1. 위반, 범죄, 일탈, 죄. 2. 불복종.

uraia : sing. 시민권.

voluntia(-) : 자원봉사자.

weza : v. 1. ~할 수 있다. 2. 힘을 가지다. 3. 제어하다, 극복하다. 4. 참다, 견디다.

wizi : 도둑질. cf.) iba : v. 훔치다. 횡령하다, 착복하다. wizi wa ng'ombe : 소 도둑질.

 

2) 1.6 우체국에서

 

Karani wa posta : Karibu, nikusaidie nini?

Voluntia : Ninataka kutuma barua Marekani. Je, ni shilingi ngapi?

Karani wa posta : Nipe niipime uzito wake kwanza. Ooh! ni shilingi mia nne na hamsini tu.

Voluntia : Nina kifurushi vilevile. Naomba unisaidie kukipima.

Karani wa posta : Kifurushi hiki ni kilo moja, na bei yake kwa ndege ni shilingi elfu tatu na kwa meli ni shilingi elfu moja tu.

Voluntia : Ukikisafirisha kwa ndege itachukua muda gani kufika?

Karani wa posta : Kwa ndege ni siku saba na kwa meli itachukua miezi mitatu.

Voluntia : Nitakituma kwa ndege.

Karani wa posta : Jumla ni shilingi elfu tatu na mia nne na hamsini tu.

Voluntia : Hizi hapa asante.

Karani wa posta : Karibu tena.

 

Dora : Ninataka bahasha tatu za ndege. Ni shiligni ngapi?

Karani wa posta : Kila bahasha ni shilingi mia moja na ishirini.

Dora : Ninahitaji pia stampu tatu za shilingi mia tano kila moja.

Karani wa posta : Jumla ni shilingi elfu moja na mia nane na sitini tu.

Dora : Hizi pesa hapa. Asante.

Karani wa posta : Karibu tena.

<원문출처 : Marshal, C. et. al., Sema Kiswahili : Furahia Tanzania, Version Two, A Kiswahili course for peace Corps Tanzania (Arusha, Peace Corps Tanzania, 1998), pp. 159-160.>

 

 

우체국 직원 : 환영합니다. 제가 도와드릴까요?

자원봉사자 : 나는 미국으로 편지를 보내고 싶습니다. 가격이 얼마입니까?

우체국 직원 : 먼저 무게를 재보게 주세요. 오, 이것은 450실링밖에 하지 않네요.

자원봉사자 : 나는 또한 소포도 가지고 있어요. 이것을 재는 것도 도와주시겠어요?

우체국 직원 : 이 소포는 무게가 1킬로 나가고, 이것의 가격은 비행기로 보내는 것은 3천 실링이고 배로 보내는 것은 1천 실링입니다.

자원봉사자 : 만약 비행기로 보낸다면 얼마나 걸릴까요?

우체국 직원 : 비행기로 보내는 것은 7일이 걸리고, 배로 보내는 것은 3달이 걸립니다.

자원봉사자 : 이것을 비행기로 보낼게요.

우체국 직원 : 합산 가격은 3천4백50 실링만 주시면 되요.

자원봉사자 : 여기 돈이 있어요. 고맙습니다.

우체국 직원 : 또 오세요.

 

도라 : 나는 3개의 항공편지봉투를 원해요. 얼마입니까?

우체국 직원 : 각각의 봉투는 120실링입니다.

도라 : 나는 또한 500실링짜리우표 3개를 원해요.

우체국 직원 : 모두 1860실링입니다.

도라 : 여기 돈이 있습니다. 감사합니다.

우체국 직원 : 또 오세요.

 

<관련어휘>

anuani(-) : 주소. cf.) anwani(-) : 주소.

bahasha(-) : 봉투

barua(-) : 1.편지, 서류. 2.증명서. cf.) barua ya ndege : 항공우편. -andikiana barua : 서신을 왕래하다.

chukua : v. 데리고 가다, 가지고 가다.

disko(-) : 디스코.

fika : v. 닿다, 도착하다.

hitaji : v. 필요하다.

jirani(ma-) : 이웃.

jumla : 1.(-) 최종 결과. 2.adv. 전체적으로, 일반적으로. cf.) kwa jumla : 전체로, 합해서,

karani(ma-) : 점원, 직원, 서기.

kifurushi(vi-) : 소포, 작은 다발, 꾸러미.

kila / killa / kula / kulla : 1.adj. 각각, 각자, 제각기. 2.adv. 언제나. cf.) kila mtu : 모든 사람. kila siku : 매일.

kwanza : adv. 처음, 첫 번째, 처음에, 제일로, 처음으로. adj. 첫 번째의. cf.) mtu wa kwanza : 첫 번째 사람.

meli(-) : 배, 선박.

muda(-) : 1.기간. cf.) muda wa saa nne : 4시간동안. kwa muda(wa) :  ~의 동안에, ~의 경과 중에. muda wa : ~하는 동안. muda (wa) kitambo : 순간. 2.정해진 시간. cf.)taka muda : 연기, 연장을 요청하다.

ndege(-) : 새, 비행기.

omba : v. 묻다, 구걸하다, 청하다.

pa : v. 1.주다. cf.) -pa mkono : 손을 내밀다, 구호의 손길을 베풀다. 2.실행하다. 실천하다, 완성하다. cf.) -pa hadithi : 이야기를 들려주다.

pima : v. 무게를 재다, 시험하다, 측정하다.

pwani(-) : 해변.

safirisha : 운반하다.

saidia : v. 돕다.

stampu(-) : 우표.

taka : v. 원하다, 의도하다, 희망하다, 요구하다, 알아보다.

tuma : v. 1.보내다, 파견하다. 2.일거리를 주다. 작업에 투입하다. 고용하다. cf.) -tuma fulani kwa kazi : ~에게 과제를 주다. appl. tumia : v. 1. 사용하다,~에 쓰다. 이용하다. 활용하다. 고용하다. double appl. tumilia : v. 최대한 활용하다. double appl. -refl. jitumilia  : v. 낭비하다. 어슬렁거리다 게으름을 피우며 빈둥거리다. intro. tumika. : v. 1.일자리를 얻다. 고용되다. 2.사용가능하다. 쓸 수 있다. intr.-appl. tumikia : v. ~을 위해서 일하다. 봉사하다.

tuma : v. 보내다.

uzito : 1.무게, 중량, 체중. cf.) uzito wa mwili : 몸무게. 2.곤란, 어려움. 3. 엄격함, 가혹함. cf.) hali ya uzito : 가혹한 상황. cf) zito : adj. 1.무거운(체중). 2. 어려운, 힘이 드는. 3.엄한, 모진, 가혹한. 4. 우울한, 풀이 죽은. 5.활력 없는, 서투른, 더딘. 6. 두꺼운, 깊은. 7.~이 가득한, 풍부한. cf.) neno zito : 중요한 일. kitu kizito : 무거운 물건.

 

 

가. 2. 구문연습

1) 2.1 Shule Yetu.

Shule yetu inaitwa Pepea. Ipo ng'ambo ya mto Pepea. Watoto wengi wa kijiji chetu wanasoma katiaka shule hii. Wengine wanatoka kijiji cha Ling'oo.

Watoto wachache tu ndio wanatoka mbali, kule karibu na mlima. Rafiki zangu wanaitwa Ema na Tunu. Sisi sote tunaishi Pepea. Tunakwenda shule kila siku. Tunawahi sana shuleni.

Tukifika shuleni tunaweka mifuko darasani. Kengele ikigongwa tunasimama mstarini. Tunakaguliwa usafi na kusikiliza matangazo. Mwalimu akimaliza kutoa matangazo tunaimba wimbo wa shule. Wimbo wetu ni mzuri sana. Unasifia shule yetu.

Baada ya wimbo, tunaingia madarasani. Tunasoma na kuandika. Pia tunafanya hesabu za kujumlisha na kutoa. Tunaimba nyimbo na kupiga makofi. Siku nyingine tunatoka nje kucheza. Tunacheza nage, tunakimbia na kuruka kamba.

Baada ya masomo tunarudi nyumbani. Mimi ninaipenda sana shule yetu. Ema na Tunu pia wanaipenda. Mimi ninapenda sana kusoma na kuandika. Nikiwa mkubwa nitaweza kuandika barua kwa kaka.

<원문출처 : Mbilinyi, Dorothy A.S., Kiswahili: Darasa la Kwanza :  Kitabu cha Mwanafunzi (Dar es Salaam, Ben and Company Ltd., 2002), pp. 38-39.>

2)

3) 2.2 Mwalimu Wetu

Sisi tunasoma darasa la kwanza. Mwalimu wetu anaitwa Mwenesi. Sisi tunampenda sana mwalimu wetu.

Kila siku asubuhi akiingia darasani tunampokea. Tunamwamkia :  Shikamoo mwalimu. Anaitika :  Marahaba watoto wazuri. Halafu wote tunapiga makofi na kuanza kuimba wimbo wa kuanzia masomo.

Mwalimu Mwenesi anatufundisha jinsi ya kusoma vizuri. Pia anatufundisha kuandika vizuri. Anatuuliza maswali mengi. Sisi tunanyooshaaa mikono na kujibu maswali hayo.

Mwalimu Mwenesi anavaa nguo safi kila siku. Akiingia darasani anakagua usafi. Anaangalia sare, kucha, miguu, nywele na meno. Anatuambia tuoge kila siku na kuchana nywele. Mwalimu anasema tukiwa wasafi tunaweza kusoma vizuri. Pia tutaweza kuandika vizuri na kujibu maswali. Anasema sisi pia tumuulize maswali. Anatufundisha kuchora na kuimba. Pia anatufundisha michezo mingi.

Mwalimu wetu anapenda kututembelea. Anakuja nyumbani kila mara. Anazungumza na wazazi wetu. Wazazi pia wanampenda sana mwalimu wetu. Nikiwa mkubwa nitakuwa mwalimu kama mwalimu Mwenesi.

<원문출처 : Mbilinyi, Dorothy A.S., Kiswahili: Darasa la Kwanza :  Kitabu cha Mwanafunzi (Dar es Salaam, Ben and Company Ltd., 2002), pp. 40-41.>

 

4) 2.3 Upepo

Asha na Zuhura walikuwa marafiki. Kila siku mchana walikutana na kucheza. Walizoea kucheza mpira wa wavu karibu na shule yao. Wakati mwingine walifanya mazoezi ya kukimbia kuzunguka uwanja wa shule.

Siku moja mvua kubwa ilinyesha. Mvua hiyo ilikuwa na upepo mkali. Upepo huo ulivuma kwa nguvu na kupeperusha takataka na vumbi. Darasa moja liliezuliwa mabati na upepo huo. Takataka na bati yalipeperushwa juu kama gurudumu na kurushwa mbali sana. Upepo huo ulielekea walikokuwa Asha na Zuhura. Asha na Zuhura walipiga kelele. Walisema baba, mama tunakufa. Njooni mtusaidie. Kwa sababu ya sauti kubwa ya upepo, hakuna aliyesikia kilio cha Asha na Zuhura.

Baadaye upepo ulitulia. Asha na Zuhura waliogopa sana. Bahati nzuri watoto wote hawakuumia. Walijipangusa mavumbi wakarudi nyumbani. Walipofika nyumbani kwao, walioga wakawa safi.

<원문출처 : Ndilime, D.M., Kiswahili 1: Shule za Msingi Tanzania :  Darasa la Kwanza :  Kitabu cha Mwanafunzi (Dar es Salaam, Macmillan Aidan, 2002), p. 83.>

 

5) 2.4. Barua ya e-mail

Habari kutoka Kenya

Professor Kim, Habari ya siku nyingi?

Samahani nilikaa kimiya saaana.

Leo nimeamua kuondoa huu ukuta

Nafikiri hauwezi ukanikumbuka kwa haraka

Mimi ni Pastor Mwangi rafiki wa Pastor Hee yong jeon

Tulikua na wewe pale Rwanda Kigali katika kanisani

Nilirudi kenya na sasa niko mji wa Thika

Thika ni mwendo wa saa moja na gari kutoka Nairobi

Karibu hapa Thika Kenya

Mchungazi Jeon yuko Tanzania sasa.

Hapo ndipo jikoni mwa lugha ya kiswahili

Hapa kuna mvua na joto kiasi

Asante sana

Salimu jamii yako na marafiki.

<원문출처 : 2011년 12월 1일 케냐의 Mwangi Kiragu 목사가 보내 온 메일 내용>

 

Homestay

 

Ndugu;

Salaamu na naamini unaendelea vema na majukumu yote ya kila siku.

Barua hii ina lengo moja maalum. Kuna profesa kutoka Chuo Kikuu cha Hankuk hapa Korea kwa jina anaitwa Kim, Kwang-Su (Ph.D. Africa History & Culture).

Yeye anafundisha Kiswahili hapa Korea, na likizo hii atasafiri kuja Afrika (Tanzania ikiwemo) pamoja na wanafunzi wake wasiopungua kumi (wavulana na wasichana). Hii ni sehemu yao ya kupanua uelewa kuhusu tamaduni na lugha za Kiafrika. Watakapokuwa Tanzania, tarehe 1 Agosti (usiku mmoja tu) wamepanga kuwa na program inaitwa Homestay, ambapo wanafunzi wawili wawili wanalala katika familia yoyote ya Kitanzania ili kujifunza taratibu, desturi na mila kuhusu, kwa mfano kupika, kula, kwenda sokoni, matembezini, kulala, kuongea, n.k.

Baada ya kuwa tumefahamiana kwa muda, huyu profesa ameniomba nimsaidie kuwaomba ndugu, rafiki, jamaa na majirani zangu ninaoweza kuwafikia. Nami nimewaandikia watu zaidi ya kumi ingawa wanahitajika watu kama saba tu kwa vile naamini sio wote watakao kuwa na nafasi kwa siku hiyo. Kwa barua hii naomba kama familia yako inaweza kuwa tayari kuwakaribisha kulala wanafunzi wawili kwa siku hiyo moja tu. Kimsingi, hakuna kitu maalumu sana cha kuandaa kwani ni wanafunzi na lengo lao ni kujifunza maisha halisi ya Kitanzania. Kwa mfano, utamaduni wao(Wakorea) ni kulala chini (sakafuni) kwa kutumia vigodoro vyepesi-kwa hiyo, hitaji kubwa kutoka kwako labda ni uwepo wa nafasi ya kulala ambayo unaweza kuwawekea godoro tu.

Nadhani itamsaidia huyu profesa akipata majibu kabla ya tarehe 5(ijumaa) wiki ijayo ili aweze kuendelea na mipango mingine. Kwa hiyo, tafadhali naomba majibu yoyote kupitia anuani hii hii. Na kama kuna jambo lolote unataka kuuliza naomba uwe huru nami nitamjulisha aweze kufafanua.

Ahsante na samahani kwa usumbufu wowote.

<원문출처 : 2012년 6월 30일 Philipo L. Sanga 선생님이 다르 에스 살람에 있는 친구에게 보낸 메일>

 

Kiswahili October Conference

 

Ningependa kuwashukuru kwa mwaliko wenu kuhusu kongamano la Kiswahili jiji ni Dar es Salaam. Sasa hivi nimeishaanza kuandaa karatasi ya kuwasilisha pamoja na kuwaambia wenzangu wote kuhusu kongamano hili ili tuhudhurie kwa wingi.

Leo 29th June 2012 na kesho tuna kongamano la Walimu wote wa Kiswahili nchini Uganda na tutakofikia mwisho wa warsha yaani kesho, nitawatangazia jambo la kongamano hili ili tusukume wawakilishi wengi kutoka huku.

Tafadhali mtuombee.

Nitaendelea kuwasiliana nanyi Mungu akikubali.

<원문출처 : 2012년 6월 29일 Makerere University의 한 교수가 2012년 10월에 다르 에스 살람 대학에서 열리는 국제학술대회 참여문의에 대한 답 메일>

6) 2.5 Tusiogope kuzirekebisha kasoro zilizomo katika muungano.

 

Na Walusanga Ndaki

 

LEO ni mwaka 44 tangu Visiwa vya Zanzibar, Unguja na Pemba, viungane na Tanganyika na kuanzisha kile ambacho leo kinajulikana kama Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Miaka arobaini na minne ni mingi kilinganishwa na umri wa mtu, ambapo tangu azaliwe kwa sasa ni mtu mwenye uwezo wa kuwa na wajukuu, na akawa na nafasi yoyote muhimu kwa jamii akiwa kama raia wa kawaida au kiongozi.

Lakini, pamoja na kuadhimisha muungano huu, ambao uliunganisha nchi moja kubwa sana na nyingine ndogo sana. Hata hivyo, kumekuwa na uelewa mdogo miongoni mwa watu wa pande hizi mbili - kuuelewa muungano huu, licha ya fedha zake, kama inawafikia mamilioni ya watu wa pande hizi mbili walioko Bara na Visiwani.

Swali jingine la kujiuliza, je, muungano huu umeendelea kuwa wa kisiasa unaohusisha maslahi ya kisiasa na wanasiasa tu? Je, kila mtu, kwa upande wa Bara na Visiwani, anaridhika na mpangilio wa sasa wa muungano huu? Je, bakuna watu wanaonung'unika kwamba sababu za kuanzishwa kwa muungano huu hazipo tena, na kwamba mpangilio wa sasa wa serikali mbili unafaa kurekebishwa na kuwa mpangilio wa serikali tatu?

Haya ni maswali yanayohitaji kujibiwa na wahusika, yaani viongozi, ambao ni wanasiasa. Yanahitaji pia kufanyiwa kazi kwa kuondoa kasoro zilizopo na kuongeza mambo mengine ambayo yatauimarisha zaidi muungano huu kuliko hali ilivyo sasa ambapo kuna nyufa nyingi.

Ikumbukwe kwamba muungano ni suala la hiari, ikiwa ni dhahiri kwamba watu wa Zanzibar na Tanganyika waliungana kwa hiari. Na kuungana ni jambo zuri kwa binadamu popote walipo duniani.

Lakini, ni dhahiri kwamba panapoibuka kauli za kwamba "Tutaulinda muungano kwa nguvu zote", watu wenye busara wanaanza kutambua kwamba kauli hizo zina sababu yake na kwamba zinalengwa kwa watu fulani si kwa mtu mmoja.

Kama muungano ni kitu cha hiari, iweje pawepo na kauli za kuulinda kwa nguvu wakati ni kitu cha hiari? Kwa msemo mwingine, urafiki wa watu wawili unatakiwa uwe urafiki wa kweli, na iwapo panatokea upande mmoja unatoa kauli ya kuulinda urafiki huo kwa nguvu, basi ni dhahiri urafiki huo hauna misingi iliyokamilika.

Wanasiasa wenye kutaka kuelewa mambo ni wazi wanatambua kwamba, muungano huu bado unaendelea kuwa na matatizo licha ya kuwepo kwake kwa miaka hiyo 44.

Ni wanasiasa wazandiki tu ndiyo wanaoweza kutamka mbele ya Watanzania wa Bara na Watanzania wa Visiwani kwamba muungano huu unaendelea vizuri bila matatizo!

Binadamu wenye busara hukubali kwenda na ukweli wa kihistoria. Itakumbukwa kwamba aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Rais wa Zanzibar, Aboud Jumbe, aliwahi kutofautiana na Rais wa wakati huo, Julius Nyerere, kuhusu muungano huu-huu na matokeo yake akalazimika kujiuzulu nyadhifa zake zote hizo mbili.

Zaidi ya hapo, wakati wa serikali ya awamu ya pili ya Rais Ali Hassan Mwinyi, wabunge zaidi ya 50(G55) walianzisha hoja ambayo ilipitishwa na Bunge la muungano kuhusu kuanzishwa kwa serikali ya tatu ili kukamilisha mfumo wa "asili" wa kuwepo kwa serikali -- Serikali ya Tanganyika na Serikali ya Muungano.

Hoja hii - kwa wanaokubali kukumbuka na kukubali ukweli - ilianzishwa na wabunge wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) na ikapitishwa na wabunge haohao, kwani wakati huo bunge lilikuwa la chama kimoja tu.

Hata hivyo, hoja hiyo ambayo ilikuwa ni sauti ya wengi, ilizimwa na wanasiasa waliokuwa na uwezo wakati huo! Hivyo sauti ya kuanzishwa kwa mfumo wa serikali tatu, ikazimwa pia.

Hii inatosha kuonyesha ukweli kwamba, japokuwa hoja hiyo haikutekelezwa kwa vitendo, ukweli unabakia palepale kwamba mfumo wa sasa wa muungano una matatizo, japokuwa watu wengi wanaogopa kusema hivyo hadharani.

Baadhi ya matatizo yaliyokuja kuzaliwa na mfumo wa sasa wa serikali mbili ni hofu kuhusu muungano wakati huu wa vyama vingi, hususani kwa upande wa Zanzibar, ambapo vyama vya CCM na CUF vina misimamo tofauti kuhusiana na mfumo wa sasa wa muungano, japokuwa vyama vyote vinataka muungano huo uendelee na kustawi.

Katika kuyamaliza matatizo ya muungano, ni lazima viongozi wetu watambue ukweli wa matakwa ya kizazi cha sasa na si kizazi kilichohusika na kuuanzisha muungano huo.

Dunia inabadilika, na watu wanaposema muungano una matatizo kadhaa, na wakayaonyesha, ni sharti hoja zao zifanyiwe kazi na si kuwapuuza na kauli za "kuulinda muungano kwa nguvu zetu zote".

Watu wenye busara si wale wanaotambua matatizo tu, bali ni wale wanaotambua hata makosa yao, na wakayarekebishaaa kwa ajili ya kuleta uelewano na ahueni kwa jamii. Na si kulazimisha mambo tu kwa ajili ya maslahi au sifa zao.

Hivyo, mfumo wa sasa wa muungano wa serekali mbili, si msahafu ambao hauwezi kubadilishwa kwa vile ulitoka kwa Mwenyezi Mungu.

Kwa kutazama pembeni, yaani kwa wenzetu duniani, Muungano wa Marekani(United States of America - USA) umeweza kuwepo kwa miaka zaidiii ya 200 hadi leo na ukiwa hauna matatizo yoyote kwa vile una misingi ya kweli na ya hiari ya watu walioamua kuungana ili kupata nguvu moja.

Muungano wa Jamhuri za Kisoviet na Kisoshalist(Union of Soviet Socialist Republics - USSR) ulibomoka kabla hata ya kufikisha miaka 60. Kwa nini? Ni kwa vile haukuwa na misingi ya kweli na ya hiari yenye kuhalalisha kuendelea kwa muungano huo.

Ndivyo ilivyokuwa pia kwa Jamhuri ya Shirikisho la Yugoslavia, muungano wa Senegambia, kati ya Senegal na Gambia, na kadhalika, miungano ambayo pia iliangamia kwa kutokuwa na misingi ya kweli iliyolazimisha kuendelea kwake.

Hivyo, ili kuunusuru muungano huu, ni vyema viongozi wakawa wakweli wa kuonyesha vidole mahali palipo na matatizo ya kweli na wakayatatua kutokana na matakwa ya wananchi na si kuyakwepa kwa visingizio vya kuwabebesha mzigo waasisi wa muungano huu ambao wengi wao hatuko nao tena duniani.

Katika kufanya hivyo, ni lazima wahusika wafahamu kwamba muungano huo ni muungano wa watu na si ya majengo au ofisi za serikali.

Hivyo, kinachotakiwa na watu ili kuimarishaaa muungano huu ni sharti kifanywe leo na si kesho! Kutoyaondoa matatizo ya sasa ya muungano huu ni kulimbikiza matatizo ambayo baadaye yatakuja kujitatua yenyewe "kienyeji" na hivyo kuleta madhara kwa muungano wenyewe.

Hatujachelewa kuyarekebisha yaliyopo, kwani nchi hii bado ni yetu na itaendelea kuwa yetu!

<원문출처 : 탄자니아 스와힐리어 신문 NIPASHE 2008년 4월 26일 자 사설>

 

제목 : “연방 안에 있는 문제를 개혁해 나가는 것을 두려워 말자!”

작성 : 왈루상가 은다키

 

오늘은 잔지바르, 운구자 그리고 펨바 섬들이 탕가니카와 합해져 지금의 탄자니아 합중국으로 알려진 나라로 시작된 지 44년이 된다.

44년이라는 시간은  사람의 약속으로 뭉쳐지게   세월이며 사람이 태어나 손주들을 볼만한 어떤 능력을 갖춘 사람이 되고  가족 안에서 평범한 존재로나 가장으로서 중요한 어떤 인격을 갖출만한 기간이다.

 커다란 나라와 또한  작은 다른 나라를 합친  연방을 경축하는 바이다또한 이와 같이 내륙과 섬들에 살던 이런 다른  지역의 수백만의 사람들이 자신들의 이익뿐만 아니라 도모를 위해 뭉쳐진 것이다.

스스로 자문해 보는 질문으로이러한 연방이 단지 정치인들에 의한 정치적인 이익을 도모한 정책적인 것으로만 발전해온 것이었을까내륙과 섬들의 모든 사람들이 이러한 합중국의  정책에 대하여  수용하고 있는가다시는 없을 이러한 연방으로써의 시작으로 인해그리고  개의 정부의  정책이  개의 정부의 정책으로 수정되어져 가는 것에 대하여 불평하는 사람들은 없는 것인가?

이러한 질문들은 관계자들  정치인인 지도자들에 의해 답변이 되어야  질문들이다또한 이러한 의문에 대한 문제점을 제거하는 작업들과 많은 세분화를 거치는 현재의 상태보다 이러한 연방을 더욱 견고케  정책들을 추가하는 작업들이 진행되어야 한다.

연방제는 선택의 문제이며잔지바르와 탕가니카 사람들이 자원하여 연합하였다는 것이 분명하다는 것은 기억되어야  것이다또한 연합한다는 것은 세상 곳곳에 있는 인류에게 있어서 좋은 일이다.

그러나 "모든 힘을 다해 연방을 지킬 것이다" 성명을 발표하는 신중한 사람들은 이러한 성명에는 그러한 이유가 있고 그것이 특정한  사람이 아닌 불특정 다수의 사람들에 의해 이행되어야 한다는 것을 깨닫기 시작하는 것이 분명해진다.

연방이 선택의 문제라면힘으로 지켜야 한다는 의견이 있는 시기에 선택의 문제란 것이 있는가다른 말로 표현하자면 사람의 우정에는 진정한 우정이어야 한다는 것이 요구되며 편에서 힘으로  우정을 지켜야 한다는 의견을 낸다면  우정은 필수적인 기초가 없는 것임이 분명해진다.

지각을 가진 정치인들이 이러한 연방이 아직  존재 자체뿐 아니라 지난 44년간 여러 문제를 가지고 지속돼 오고 있다는 것을 인지하고 있는 것은 사실이다.

내륙의 탄자니아 사람들과 섬들에 사는 탄자니아 사람들 앞에서 이러한 연방제가 아무런 문제없이  지속되고 있다고 발언할  있는 사람들은 바로 위선자 정치인들뿐이다.

현명한 사람은 역사적인 사실로서 살아가는  동의한다탄자니아 합중국의 부통령이었으며 잔지바르의 대통령이었던 아보우드 줌베는 당시 대통령이었던 쥴리어스 네레레와 이러한 연방에 대한 이견을 감히 냈었다그는  연방제와  결과에 대한 연회에 스스로 물러갈 수밖에 없었다.

그뿐 아니라알리 핫산 음위니 대통령의 셋째 국면의 정부 , 50 이상의 국회의원들이 잔지바르 정부탕가니카 정부 그리고 연방 정부의  개의 정부로서 "근본체제를 확고히   있도록  번째 정부를 구성하는 것에 대한 의제를 제출하였고 이는 연방 의회에서 통과되었다.

사실을 수용하고 이를 기억하는 사람들에게 의하면 의제는 혁명당(CCM) 국회의원들에 의해 제출되고  의원들에 의해 통과되었다왜냐하면 당시에는 국회에는  개의 정당뿐이었기 때문이었다.

그와 같이다수의 요구였던  의제는 당시 권력을 가진 정치인들에 의해 무산되었다그렇게  개의 정부 체제를 시작하려는 요구 또한 무산되고 말았다.

 의제가 실질적으로 실행되지 않았을지라도 많은 사람들이 공공연하게 말하길 두려워한다 해도  연방제가 문제점을 안고 있다는 사실은 그대로 남아있다.

 개의 정부의  체제에 의해 출현하고 있는 문제들 중에는특별히 잔지바르 쪽에 의하면 CCM당과 CUF당이 모두가  연방이 지속적으로 번영되길 바라고 있지만 연방의  체제에 관한 다른 입장을 가지고 있는 복수 정당의  연방에 대한 두려움이 있다.

연방의 문제점을 해결하는  있어서우리의 지도자들은 연방을 시작하는  관계했던 세대가 아닌  세대가 원하는 사실들을  직시해햐 한다.

세상은 변하고 있고, 연방제에 여러 문제가 있다며 그것들을 드러내며 사람들이 말할 때, “우리의 모든 힘을 다해 연방제를 지켜야 한다.”는 입장으로 그들을 무시하지 말고 그들의 의견이 실행되도록 해야 한다.

지혜로운 사람들은 단지 문제만을 발견하는 사람들이 아니라 문제를 깨닫고 사회를 위하여 조화와  나은 미래를 가져오기 위해 그러한 문제들을 고쳐나가는 사람들이다단지 일을 해야한다는 것으로가 아닌 그들의 명예와 의무로서 말이다.

그래서  개의 정부의 연방제인  체제는 전능하신 하나님으로부터 나왔기에 변개될  없는 거룩한 말씀이 아니다.

주위를 돌아보면 세상의 우리 친구들을 보면미합중국(USA) 200년전부터 지금까지 지속돼 왔고그리고 만약 어떠한 문제도 없었다면 그것은 하나의 힘을 가져야 하기 위해 뭉쳐야 한다고 주장했던 사람들의 선택과 진실을 전제가 있었던 것이다.

소비에트 사회주의 연방(USSR) 60년이  지나기 전에 무너지고 말았다무엇 때문인가그러한 연방으로 지속적으로 정당하게 나갈 선택과 진실의 전제가 없었기 때문이다.

바로 그것이 또한 유고슬라비아 연방국과 세네갈과 감비아의 세네감비아 연방 그리고 기타 등등의 연방들이 지속적으로 지켜나가야  진실의 전제를 벗어나 무효케 되었던 연유이다.

그래서 이러한 연방제를 지원하기 위해서 지도자들은 진실하게 문제가 있는 곳들을 지목할  있는 진실된 사람이 되어야 하고, 세상에 우리와 함께 있지도 않는 많은  연방제이 도입자들에게 짐을  넘기려는 변명을 버리고 국민의 바램에서 나오는 것들을 해결해야 하는 것이 바람직하다.

그렇게 함에 있어서관계자들은  연방제가 정부의 부처나 단체의 연방이 아닌 국민들의 연방임을 인지해야 한다.

그래서 연방을 확고히 하기 위해 사람들에 의해 요구되는 것이 내일이 아닌 오늘 당장 이행되어야  것이다 연방의  문제들을 조치하지 않는 것은 나중에 "우연히자체적으로 해결될  있는 문제들을 쌓고 연방제 자체로 해를 가져올  있다.

우리는 그러한 상태에 있는 문제들을 고쳐나가기에 아직 늦지 않았다. 왜냐하면 이 나라는 아직 우리의 나라이며 우리의 나라로서 지속될 것이기 때문이다.

 

2.6 Historia ya taifa la Afrika Kusini121)

 

Taifa hili lilikaliwa na watu jamii ya San (Bushmen), ambao waliishi kwa kuwinda na kukusanya matunda na mizizi. Inakadiliwa kuwa kuanzia kipindi cha miaka 2000 iliyopita, watu kutoka  makabila ya Kixhosa na Kitswana, waliozungumza lugha ya Kibantu walianza kuhama na kuingia maeneo ya W asan. Kutokana na mwingiliano huu wa watu wenye tamaduni tofauti ilisababisha waSan kujikusanya na kuishi maeneo machache, na hadi sasa inasadikika kuwa wamebaki watu wachache ambao wanaishi maisha yao ya asili ya uwindaji na ukiusanyaji wa matunda na mizizi ya mimea.

Watu wa kwanza kutoka bara la ulaya kufika Afrika kusini walikuwa ni Wareno waliofika eneo la Capemwaka 1488. Lengo lao kuu likuwa ni kusaidia kufungua njia ya majini kuweza kufanya biashara ya viungo vya vyakula (hutumika kwenye chakula, chai n.k)kupeleka mashariki ya mbali kuliko kutegemea njia ya nchi kavu kupitia mashariki ya kati ambayo kwa wakati huo ilkuwa chini ya utawala wa waarabu.Mnamo mwaka 1652, Kampuni ya Dutch East India ilianzisha kituo katika mji wa Cape of Good Hope cha kuweza kutoa huduma kwa meli ziendazo mashariki ya mbali na kurudi bara la Ulaya.Kituo hiki kilikua kadili muda ulivyoenda, na watu wengine kutoka bara la Ulaya walianza kujishughulisha na kilimo ili kuweza kupata mahitaji ya chakula cha kujitoshelezakuliko kutegemea wenyeji wa kabila la Kikhoikhoi. Hata hivyo Wakhoikhoi hawakufurahishwa na bei ya bidhaa ambayo ilipangwa na Kampuni ya Dutch East India.

Mwaka 1795 Majeshi ya Waingereza yalikamata eneo la Cape na kuliweka chini ya himaya ya Uingereza, lakini mwaka 1802 walilirudisha tena kwa Wadachi. Waingerezawalilichukua tena eneo la Cape kutoka kwa wadachi mwaka 1906. Kutokana na kunyang’anywa eneo hili na kuongezeka kwa wakulima kutoka Uingereza, iliwabidi Wadachi wazidi kusogea pembezoni  au kuhamia maeneo mengine yaliyokuwa nje ya Cape na walihama kwa makundi makubwa makubwa na kwenda mbali, na uhamaji huu ulipewa jina la Great Trek (uhamaji wa milolongo/makundi makundiya watu wengi). Wakulima wa Kidachi, ambao pia walihitwa majina mbali mbali yakiwemo ya Makaburu (Boers), Afrikaners, Voortrekers walipambana nawenyeji wa makabila ya Kibantu kama vile Wazulu, Wxhosa, Watswana, na Wasotho. Mwingiliano huu ulisababisha vita kati ya makaburu na wenyeji. Mapigano haya alisababishwa hasa na ufinyuwa ardhi pamoja na upatikanaji wa maji. Makaburu waliunda jamhurimbili nje ya eneo lililokuwa chini ya waingereza. Jamhuri ya Afrika ya Kusini (ambayo baadaye ilkuja kuhitwa Transvaal) na Jamhuri ya Orange Free State. Lakini kutokana na kugundulika kwa madini aina ya almasi na dhahabu katika Jamhuri ya Orange Free State, ilisababisha  waingereza kuingia tena katika maeneo hayo na kuanza mapigano na makaburu, na baada ya muda waingereza walivamia Jamhuri zote mbili za Orange Free State na Transvaal. Waliendelea kupigana na makaburu hadi walipowashinda mwaka 1902. Na baadaye waingereza waliliteka eneo la Natal, Jamhuri iliyokuwa imeundwa na makaburu na kasha kuanzisha vita na Wazulu pamoja na Wasotho.

Mwaka 1910, kutokana na msaada au ushawishi wa serikali ya Uingereza, jamhuri nne za Koloni la Cape, Transvaal, Orange Free State na Natal, ziliunganana kutengeneza Jamhuri ya Umoja wa Afrika Kusini ndani ya Jamuhiyaya madola yaani nchi ilizotawaliwa na Uingereza. Mnamo mwaka 1948 Jamhuri ya Africa Kusini ilianzisha utawala wa kibaguzi, utawala uliowabagua watu weusi na wazungu, baada ya Afrikaner kushika hatamu. Chama cha Taifa (The National Party) kiliongoza Serikali ya Afrika Kusini hadi mwaka 1994. Ni baada ya hapo sera ya ubaguzi wa rangi na serikali yake iliondolewa na serikali ya waliowengi baada ya uchaguzi wa Nelson Mandela, mweusi wa kwanza kuwa raisiwa Afrika Kusini. Ubaguzi wa rangi uliodumu kwa muda mrefu, na ndani ya miaka 50 iliyopita sera hiyo na serikali yake vilipata mashambulizi na ukinzani mkubwakutoka nchi mbalimbali, ikiwemo kuwekewa vikwazo vya kibiashara na silaha, kutoshiriki na kuhudhulia makongamano mbali mbali ya ya kimataifa n.k. Zilikuwepo jitihada mbalimbali za waafrika kupitia vyama vyao kama vile African National Congress na Pan African Congress ambavyo vilipinga na kupambana na ubaguzi wa rangi, na walikuwa tayari kuiondioa serikali ya ubaguzi wa rangi hata kwa kumwaga damu kupitia mfumo ‘guerrilla welfare’ ambapo kundi la watu walionoewa na kukandamizwa na wenye silaha duni upigana na serikali yenye silaha za moto na mifumo imara  bila kujali kitakachotokea. Viongozi wengi wa watu weusi waliteswa, walinyanyaswa, walidhalauriwa, wengine waliuawa na hata kufungwa magerezani. Mfano ni Nelson Mandela ambaye alitumikia kifungo cha miaka  27 ndani ya gereza kwa sababu za kisiasa.

Taifa la Afrika Kusini limeundwa na jamii mchanganyiko wenye waafrika weusi (Bantu) ambao ndiyo wengi(asilimia(%) 76), watu weupe au wazungu (asilimia(%) 13), wantu wa Coloured(asilimia(%) 9), na watu wenye asili ya bara la Asia na wengine (asilimia(%) 2). Hadi kufika mwaka 2010, Afrika Kusini ilikadiliwa kuwa na watu milioni 49.1. Taifa la Afrika Kusini linatumia lugha mbili za Taifa nazo ni Africaans na Kiingereza. Ni nchi nyenye mifumo mizuri ya kuhudumia watu wake hasa katika nyanja ya afya kuliko nchi nyingine Afrika. Mifumo ya kiuchumi na kijamii inaiweka Afrika Kusini juu ya nchi zote katika bara la Afrika. Kwa mfano miaka ya kuishi ni miaka 50 kwa mwanamume na miaka 48 kwa mwanamke. Asilimia(%) 61 ya watu wote huishi mijini(2008). Kulinganisha na nchi nyingi za Afrika ni nchi yenye vifovichache kwa watu wake, inakadiliwa kuwa watu 17 hufa kati ya watu 1000 kwa mwaka(2010). Na vifo vya watoto pia viko chini, ni watoto 44 hufa kati ya 1000 hufa kwa kila mwaka(2010). Mbali na mafanikio hayo yote na kupambana na ubaguzi wa rangi, lakini bado kuna kuna tofauti kubwa kati ya wenye nacho (matajiri) na walalahoi (maskini). Watu wenye kipato cha juu hasa ni watu weupe na maskini wengi ni watu weusi, na hata vifo vingi kwa watoto hutokea katika jamii ya watu weusi. Kwa ujumla bado hakuna usawa katika jamii ya rangi tofauti.

Uchumi wa Afrika Kusini unategemea sana utajiri wa madini waliyonayo. Kuwepo kwa madini ya almasi na dhahabu kumevutia watu wengi kutoka bara la Ulaya katika karne tano zilizopita. Inakadiliwa kuwa mauzo ya nje ya madini na mawe yenye thamani ni asilimia(%) 50 ya mauzoyote kutoka Afrika Kusini. Uzalishaji wa bidhaa kama nguo, vifaa vya umeme, vinywaji ma uzalishaji wa viwandani ni kama asilimia(%) 25% ya mapato yote yatokanao na mauzo ya nje. Kilimo uchangia kiasi kidogo katika uchumi wa Afrika Kusini. Mazao makuu ya kilimo ni mahindi, miwa, zabibu, matunda jamii ya malimau, pamba, na tumbaku. Ufugaji pia huchagia kwa kiasi katika uchumi wa Afrika Kusini kama ilivyo kwa uvuvi kwenye bahari ya Atlantiki na bahari ya Hindi.

7) 2.7 Dini katika Afrika

Dini barani Afrika ni njia ya maisha ambayo inahusu jamii nzima, hata wale wanaopinga dini lazima wahusishwe katika maisha ya wenye dini kwa maana Waafrika huaminikwamba maisha  huwa ya maana wakati watu wako pamoja na si  utengano. Likiwa bara kubwa, Afrika ina dini nyingi lakini ambazo ni kuu ni dini za jadi, ukristito na uislamu.

Kwanza, Waafrika  walihusishwa katika vitendo vya dini hata kabla ya kujulikana kwa ukristito na uislamu. Walikuwa na imani katika mungu ambaye waliamini ndiye muumba na mdumishi wa dunia. Jamii tofauti zilikuwa na majina tofauti ya mungu wao. Pia waliamini mizimu. Waliamini kwamba mungu alizingirwa na mizimu ambayo ilikuwa ya kila aina na pia kazi tofauti. Kwa mafano, waliamini roho za waliokufa zilikuwa zikiwaunganisha na Mungu. Waliamini pia kwamba kulikuwa na uhai baada ya kifo, waliokufa walizaliwa tena kwa mifano ya wanyama na waliokufa walijulikana kama ndugu walio katika dunia ya wafu na walihusishwa katika sherehe zote za jamii, kama vile tamaduni za jamii. Pia walikuwa na viongozi wa dini na ziara za kutolea sadaka. Viongozi waliohusishwa walikuwa ni: wafalme na machifu, wenye roho, na waliounganisha watu na ulimwengu wa wafu ambao walitoa sadaka ziarani kwa niaba ya jamii nzima. Uchawi ulihusishwa katika dini za Waafrika. Wachawi huaminika kuwa ni wenye nia mbaya ambao hutumia sumu au laana kuua watu. Uchawi na roho zilizokasirika za wafu hujulikana kama chanzo kikuu cha kusababisha dhiki katika familia.

Ukristo katika Afrika uliletwa na wamisionari wa kanisa kutoka Ulaya na Waafrika waliorudi kutoka utumwani huko Magharibi ambao walikuwa wamebatizwa na kuwa wakristo. Lakini hata kabla ya kuja kwa waumini wa kanisa, kulikuwa na chembechembe za ukristo huko Misri katika mwaka 311 (BK—Baada ya Kristo). Waafrika walihusisha tamaduni zao na ukristo ili kuhisi kwamaba wako nyumbani hata ingawa kulikuwa na upinzani dhidi ya tamaduni zao kutoka kwa wamisionari.

Uislamu barani Afrika ulienezwa na wafanyabiashara ambao walisafiri katika misafara ya biashara na baadaye wakaeneza hadi maeneo ya bar katika Afrika. Waafrika waislamu pia walihusisha tamaduni zao katika imani zao za kiislamu.

<원문출처 : 아래의 내용을 요약하여 스와힐리어로 번역하였음. Gordon, April. A. & Gordon, Donald. L., Understanding Contemporary Africa (Boulder & London, Lynne Rienner Publishers, 2006), pp. 317-350(Religion in Africa).

나. 3. 문법

1) 3.1 enyewe의 용법

 

자신의(-enyewe)”는 각 부류접사의 연결어(of) + -enyewe의 형태 또는 주격 접사 + enyewe의 형태로 사용된다. enyewe는 나 자신, 너 자신, 그 자신 등을 나타내며 강조하기 위해 쓰인다.

(1)

(2) Mfano)

(3) mimi mwenyewe : 나 자신

(4) sisi wenyewe : 우리 자신

(5) wewe mwenyewe : 너 자신

(6) ninyi wenyewe ; 너희들 자신

(7) yeye mwenyewe : 그 자신 /  그녀 자신

(8) wao wenyewe : 그들 자신

(9) kitanda chenyewe : 침대 자체

(10) taa yenyewe : 등 자체

(11) mkeka wenyewe : 매트 자체

2) 3.2 가상법(Subjunctives) 3

 

가상법에서 시제를 나타내는 문법적 표시(시제를 표현해주는 접사)는 사용되지 않는다.

(1)

(2) Mfano)

(3) Twende / Tuende! : 가자!

(4) Asome. : 그녀는 읽어야한다.

(5) Tuendelee : 우리 계속하자

 

가) (a) 질문이나 제안이 나타나는 경우

(1)

(2) Mfano)

(3) Basi, twende wapi? : 자, 우리 어디로 깔까? / 가지?

(4) Tuendelee kutembea karibu na bahari? : 우리 해변을 걸을래?

 

나) (b) ‘~하기 위해서’라는 목적이 나타나는 경우

(1)

(2) Mfano)

(3) ...alisema atakwenda maktaba...asome magazeti ya Kiingereza. :  ...그녀가 영어신문을 읽기 위해 도서관에 갈 거라고 말했어.

 

(c) ‘오다.’나 ‘가다.’라는 동사 뒤에 종종 그 다음 오는 동사가 -e 형태로 쓰이는 대신, 부정사 형태로 쓰인다. 하지만, 이것은 주어의 변화가 없을 때만 가능하다.

(4)

(5) Mfano)

(6) Atakwenda benki kuchukua pesa. : 그는 돈을 인출하러 은행에 갈 거야.

(7) Atakwenda benki apate pesa. : 그는 나에게 돈을 주기 위해 위해 은행에 갈 거야.

 

(d) ‘반드시 ~해야 한다.’라는 의무가 나타나는 경우에는 부사 ‘afadhali(오히려 ~하는 편이 더 낫다. 더 좋은, 더 좋게)’ 또는 ‘lazima(-)(의무, 책임)’가 일반적으로 사용된다.

(8)

(9) Mfano)

(10) Afadhali asome magazeti ya Kiswahili! : 그녀는 스와힐리어 신문을 읽었어야 했다. / 그녀는 스와힐리어 신문을 읽는 것이 더 좋았을 것이다.

(11) Afadhali twende Zanzibar kwa boti. : 우리는 배를 타고 잔지바르(Zanzibar)로 가야만 한다.

(12) Lazima aende maktaba. : 그녀는 도서관에 가야만 한다.

 

(e) (공손한) 요청이나 명령

(13)

(14) Mfano)

(15) Usimame hapa. : 여기에 서 계세요.

(16) Ununue samaki kesho. : 내일 생선을 사다 주시겠어요?

(17) Njoo ukatekate vitunguu! : 이리 와서 양파의 껍질을 벗겨라!

(18) Usome gazete hili uoneze maarifa ya Kiswahili. : 너의 스와힐리어 실력을 높일 수 있도록 이 신문을 읽어라.

(19) Yasome. : 그것을 읽어라(신문)

(20) Kisome. : 그것을 읽어라(책)

(21) Vinunue. : 그것을 사라(감자, 신발 또는 책!)

(22) Mpe chakula. : 그녀에게 약간의 음식을 주어라

(23) Mwandikie barua. : 그에게 편지를 써라.

(f) 가상법에 단음절 동사들이 사용될 경우에는 부정사 ku는 탈락한다.

(24)

(25) Mfano) Watoto wale matunda. : 어린이들은 과일을 먹어야 한다.

 

(g) 가상법의 부정형은 주격접사와 동사어간 사이에 부정사 si를 넣어서 만든다. 명령법의 부정에서도 같은 방법으로 한다.

(26)

(27) Mfano)

(28) Tusiende maktaba. : 우리 도서관에 가지 말자.

(29) Wasipike jioni? : 오늘 저녁에 그들이 요리하지 않을 거니?

(30) Nunua nyama! : 고기를 조금 사와라!

(31) Usinunue nyama! : 아무 고기도 사오지 마라!

(32) Usisahau...! : 잊지 말아라!

 

(h) 목적격 접사도 역시 접두사와 어간 사이에 온다. 목적격 접사가 사용된 가상법의 부정형도 부정사 si로 만든다.

(33)

(34) Mfano)

(35) Avilete vitabu. : 그녀는 책을 가져와야만 한다.

(36) Usizipike. : 그것들을 요리하지 마세요.

3) 3.3 시간과 장소의 표현 - Kunako, Panapo, Mnamo의 용법

 

대화에서 kunako는 시간을 가리키고 panapo는 장소를 뜻한다. 이 형태는 na 동사에 관계접사가 연결된 형태로 3가지 형태 모두 일반적인상황을 언급하거나 시제를 동반하지 않는 관계사이다. 일반적으로 장소를 가리킬 때보다 시간표현과 함께 쓰일 때 이들 사이의 의미의 구분이 명확하지 않거나 약하게 느껴 질 수 있다. mnamo는 다른 2가지의 표현보다 더 정확한 시간을 나타낸다.

 

(1) Mfano)

(2) Kunako jioni : 저녁 언젠가

(3) Panapo saa sita : 약 12시쯤

(4) Mnamo saa tisa : 약 3시쯤

(5) Atatafuta kazi huko kunako mahoteli mengi. : 호텔이 많이 있는 곳에서 그는 일을 찾을 것이다.

(6) Tukae pale panapo kivuli. : 그늘이 있는 저곳에서 앉아 있자.

(7) Tia mnamo maji. : 물이 있는 그곳에 (그것을) 두어라.

4) 3.4 편지쓰기

 

대화에서 사용되는 ‘mpendwa(좋아하는 사람)’라는 단어는 친구나 지인에게 대한 비공식적인 편지를 시작하는 전형적인 단어이다. mwalimu는 ‘선생님’이라는 뜻을 가진 경어인데, 실제 선생님이 아니더라도 사용할 수 있다. 편지를 쓸 때 mwalimu의 줄임말은 Mwl.이다.

 

(1) Mfano)

(2) Mpendwa Ruth :사랑하는 루스(Ruth에게)(같은 연령의 친구에게)

(3) Mpendwa dada / kaka : 사랑하는 자매 / 형에게

(4) Mpendwa Bi. Thekla : 테클라 양에게

(5) Mpendwa Mwalimu : 사랑하는 선생님에게

 

친한 가족이거나 가까운 친구일 때에는 ‘mpenzi(사랑하는 사람, 연인, 애인)’다음과 같이 쓴다.

(6)

(7) Mfano)

(8) Mpenzi wangu : 내 친구에게

(9) Mpenzi Zena : 제나(Zena)에게

(10) Mpenzi Baba / Mama : 아빠 / 엄마(또한 나이 많은 친구 사용할 수 있음)에게

 

공식적인 편지나 동료에게 보내는 간략한 메모에는 수신자의 직함이나 이름만을 사용한다.

(11) Mfano)

(12) Bwana .Omari : 오마리(Omari) 씨에게

(13) Bi. Amina : 아미나(Amina) 양에게

(14) Profesa Khamisi : 카미시(Khamisi) 교수님께

(15) Mwalimu Ali : 알리(Ali) 선생님께

(16)

(17) 또는

(18) Kwa Bwana Omari : Omari씨에게

(19) Kwako Bibi Amina : Amina양에게

 

비공식 편지의 첫 번째 단락은 대화에서의 첫 번째 두 단어처럼 인사로 시작한다. 매우 나이가 많은 사람에 대한 편지는 존경을 나타내는 Shikamoo로 시작하는 것이 좋다. 이러한 인사는 매우 중요하고 비공식적인 편지에서 빠져서는 안 된다. 공식적인 편지는 이러한 표현을 필요로 하지 않는다.

(20)

(21) Mfano)

(22) Salamu nyingi sana. Natumaini wewe na wanafunzi wako ni wazima pia. Wote hawajambo nyumbani? Sisi hapa hatujambo sana. Nilirejea salama salimini nyumbani kwetu, ila tulichelewa Nairobi kwa sababu ya kifundi. Hatujaanza kulima bado.

(23) 따뜻한 인사를 보낸다. 또한 네가 하는 공부가 잘 되기를 바란다. 가족들은 모두 잘 지내니? 우리는 모두 좋아. 나는 집에 안전하게 돌아왔는데, 기술적인 문제들 때문에 나이로비에 머물고 있었거든. 우리는 아직 경작을 시작하지도 않았어.

 

서명 위에 사용하는 Wasalaam나 Wako는 공식적인 편지를 포함하는 모든 종류의 편지에서 좋은 표현이다. 그러나 가족이나 친한 친구들에게 보내는 편지에서는 그것을 대체하거나 다음과 같이 쓸 수 있다.

(24)

(25) Mfano)

(26) Ni mimi,

(27) Ndimi,

(28) Mimi rafiki / ndugu yako,

(29) Mimi nikupendaye,

(30) Wako akupendaye,

(31) Akupendaye,

(32) Mpenzi wako.

 

크리스마스나 새해의 안부나 인사를 묻는 카드(kadi za kusalimu)에는 다음과 같이 쓴다.

(33) Mfano)

(34) Nakuletea salamu za heri kwa Krismasi na baraka na fanaka ya mwaka mpaya. : 크리스마스를 축하하며 새해에는 복과 행운이 함께 하시기를 바랍니다.

(35) Idi Mubarak : 라마단을 마치는 것을 축하하는 말.

(36) Nakutakia kila la kheri / heri. ; 나는 내 최고 행복을 바래(일반적인 인사말).

 

 

다. 4. 단어 및 어휘 정리

 

adhimisha : v. 경축하다, 높이다, 영광스럽게 하다. cf.) adhama 월등함, 영광, 위대함.

ahueni(-) : 더 나은 미래, 장래의 소망.

awamu(-) : 국면, 단계, 형세, 위상.

bunge(ma-) : 의회, 국회. cf.) mbunge(wa-) : 국회의원.

chana : v. 1. 분리하다, 쪼개다. 2. 빗질하다.

chana(-) : 1. 덩어리, 묶음, 다발. 2. 벌의 애벌레.

chora : v. 조각하다, 돌에 새기다.  cf.) chorachora : v. 휘갈겨 쓰다.

dhara(ma-) : 손해, 해.

dhifa(nyadhifa) : 잔치, 연회. cf.) dhifa(-) : 여관, 영빈관, 잔치, 연회.

gonga : v. 두드리다, 때리다.

hadhara : adv. ~의 앞에서, ~의 면전에서. cf.) hadharani : 공공의 장소에서, 공공연히. hadhara ya watu : 공공연히, 사람들 앞에서.

hiari / hiyari : v. 고르다, 선택하다. 2. hitiari / ihtiari / ikhtiari(-) : 소망, 선택, 자유의지. cf.) kazi ya hiari : 자원봉사(일).

hofu(-) : 1. 두려움, 무서움. 2. v. 무서워하다, 두려워하다.

hoja(-) : 논쟁, 제안, 의제. cf.) si hoja 불필요한.

hususani / hasa : 특별히.

ibuka : v. 나타내다, 표출하다.

imarisha : v. 설립하다, 구체적으로 하다, 담대하게 하다. cf.) imara 용기, 담대함. mtu wa imara : 용감한 사람, 장수.

jumlisha : v. 더하다. 모으다, 총계를 내다. 합계하다.

kagua : v. 조사하다.

kangua : v. 조사하다, 검사하다.

kauli(-) : 1. 입장, 의견, 선언. 2. 문장, 표현, 이야기. 3. 규칙, 규정. cf.) mwenye kauli mbili : 이중인격자, 한입으로 두말하는 사람, 신뢰할 수 없는 사람.

kauli(-) : 약속, 성명.

kisingizio(vi-) : 구실, 변명.

kofi(ma-) : 손바닥.

licha ya A hata B : A뿐만 아니라 B도.

limbikiza : v. 쌓다, 적립하다, 모으다.

makamu : 부(副), 두 번째, 2인자 cf.) makamu wa Rais : 부통령.

masilahi / masilaha / masuluhu(-) : 1. 동의, 합의. 2. 화해, 타협, 양보. 3. (최후의) 협상. cf.) maslahi는 ‘이익’ 또는 ‘장점’으로 해석되며 masilahi의 오자로 보임.

matakwa / mataka : pl. 바램, 소원, 요구.

mfumo(mi-) : 체제. cf.) mfumo wa kisiasa 정치체제.

mhusika(wa-) : 관계자, 구성원, 측근.  cf.) husika : v. 분담되다, 부여되다.  husa : v. 분담하다, 부여하다.

msahafu / msafu(mi-) : 거룩한 말씀, 성경, 코란.

msemo(mi-) : 화법, 어구. cf.) kwa msemo mwingine : 다른 말로 표현하자면.

msimamo(mi-) : 원리, 원칙, 지위, 입장.

mwasisi(wa-) : 설립자.

mwungano / mwunganisho / muungano(mi-) : 연방, 연합, 단합, 결합, 결속 혹은 그런 단체. cf.) Jamhuri ya Muungano wa Tanzania : 탄자니아 합중국

mzandiki(wa-) : 위선자들, 거짓말쟁이. cf.) mwongo(waongo) / mlongo(wawongo) : 거짓말쟁이, 사기꾼, 속이는 사람.

nage(-) : 럭비.

nusuru : v. 지원하다, 돕다, 구호하다.

nyoka / nyooka / nyoroka : v. 똑바로 하다, 펴다.

pokea : v. 환영하다, 인정·동의하다, 받아들이다.

puuza : v. 무시하다, 경시하다.

raia(-, ma-) : 국민, 시민, 백성, 객체, 존재. cf.) uraia : 시민권, 시민의식.

ridhika : v. 기쁘게 되다, 수용하다. cf.) ridhi : v. 기쁘게 하다, 만족시키다. ridhaa : 수용, 동의.

sare(-) : 1. 유니폼, 제복. 2. 의형제를 맺는 의식에서 행하는 갈로 베기(의식). 3. 동점, 승부가 나지 않음. 4. 출생과 동시에 주어지는 아이의 이름. cf.) jina la sare : 별명.

sharti / lazima : v. ~ 해야 한다. cf.) ni sharti 반드시 ~ 해야 한다.

siasa(-) : 정치, 정책.

sifu : v. 찬양하다.

stawi : v. 성공하다, 번영하다, 번창하다.

suala(ma-) : 이슈, 문제, 주체.

tangazo(ma-) : 알림, 공지.

tangu azaliwe kwa sasa : 태어나서 지금까지.

tekelezwa : v. 수행되다, 이행되다. cf.) tekelea : v. 1. 도착하다, 도달하다. 2. 성취하다, 실행되다.

toa / towa : v. 1. 내놓다, 내뱉다. 2. 보여주다, 전시하다. 3. 제거하다, 떼어내다. 4. 가져가다, 감소하다, 빼다. cf.) Kumi kutoa tano ni tano. :  10-5 = 5.

uelewano : sing. 조화.

ufa(nyufa) : 균열, 세분화, 나눔, 갈등.

ukucha(kucha) : 손톱, 발톱.

uzulu : v. 사직하다, 사임하다, 물리치다, 면직시키다.

wahi : v. 시간이 되다, 준비가 되다.

wahi : v. 위험을 무릅쓰고 하다, 모험하다.

yoosha : v. 똑바로 하다.

 

<속담>

●Dau la upweke haliendi joshi. : 한 사람이 탄 다우선(외돛범선)은 바람이 부는 곳까지 항해할 수 없다.

●Figa moja halitegemezi chungu. : 모닥불에 있는 하나의 돌로는 냄비를 지탱할 수 없다.

 

혼자서는 아무것도 할 수 없으며 반드시 서로 도와야만 어떤 일을 할 수 있다는 것을 보여주고 있다. 즉 한사람의 능력보다는 여러 사람이 함께 하면 그 능력이 더욱 배가될 수 있음을 보여주고 있다.